Common Folk JF-Expert Member Joined Nov 8, 2023 Posts 877 Reaction score 3,921 Apr 13, 2024 #1 Your browser is not able to display this video.
Kipenzi Changu Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 58,042 Reaction score 134,324 Apr 13, 2024 #2 Hadi huruma mama wa watu, lakini kayataka mwenyewe
Beesmom JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 37,365 Reaction score 91,920 Apr 13, 2024 #3 Naogopa hata kuangalia? Inaonyesha mama anapuuzwa mkuu?
Beesmom JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 37,365 Reaction score 91,920 Apr 13, 2024 #4 OKW BOBAN SUNZU said: Hadi huruma mama wa watu, lakini kayataka mwenyewe Click to expand... Daah!
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,535 Reaction score 105,254 Apr 13, 2024 #5 Atakae angalia atuambie kama jamaa alitumia hata kinga kweli...😜
Gentlemen_ JF-Expert Member Joined Nov 24, 2019 Posts 4,630 Reaction score 14,604 Apr 13, 2024 #6 😅.. tulia tumwage mboga
ras jeff kapita JF-Expert Member Joined Jan 4, 2015 Posts 22,729 Reaction score 34,830 Apr 13, 2024 #7 Makonda hana lugha ya staha. Ambayo ni muhimu kwa viongozi wote wa uma
Kipenzi Changu Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 58,042 Reaction score 134,324 Apr 13, 2024 #8 To yeye said: Daah! Click to expand... Nakuona JK ameshika kichwa, Pengo anaomba Mungu hali isichafuke
To yeye said: Daah! Click to expand... Nakuona JK ameshika kichwa, Pengo anaomba Mungu hali isichafuke
Beesmom JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 37,365 Reaction score 91,920 Apr 13, 2024 #9 OKW BOBAN SUNZU said: Nakuona JK ameshika kichwa, Pengo anaomba Mungu hali isichafuke Click to expand... Mi huwa naumia sana mtu mwingine anapodharaulika public.Siyo vizuri aisee
OKW BOBAN SUNZU said: Nakuona JK ameshika kichwa, Pengo anaomba Mungu hali isichafuke Click to expand... Mi huwa naumia sana mtu mwingine anapodharaulika public.Siyo vizuri aisee
92 jerrie JF-Expert Member Joined Feb 28, 2022 Posts 7,425 Reaction score 17,063 Apr 13, 2024 #10 mhh kata kata ila jamaa hata haoni ishara
muhomakilo jr JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 15,835 Reaction score 14,727 Apr 13, 2024 #11 Ameharibu siku kubwa kwa familia ya Sokoine! , Arusha kuna misiba ya watoto 7 na changamoto za mafuriko angalau angetumia jukwaa kutoa pole! Lakini huyu kenge anatumia jukwaa kueneza chuki na majungu!..
Ameharibu siku kubwa kwa familia ya Sokoine! , Arusha kuna misiba ya watoto 7 na changamoto za mafuriko angalau angetumia jukwaa kutoa pole! Lakini huyu kenge anatumia jukwaa kueneza chuki na majungu!..
proton pump JF-Expert Member Joined Apr 30, 2017 Posts 7,352 Reaction score 11,236 Apr 13, 2024 #12 Ushimen said: Atakae angalia atuambie kama jamaa alitumia hata kinga kweli...😜 Click to expand... mh nasubiri comments
Ushimen said: Atakae angalia atuambie kama jamaa alitumia hata kinga kweli...😜 Click to expand... mh nasubiri comments
one b JF-Expert Member Joined Jun 30, 2017 Posts 1,669 Reaction score 4,047 Apr 13, 2024 #13 Yaani akili yangu ni nyepesi kung'amua mambo mbalimbali...lakin kwa makonda imeshindwa kabisaa
R Rabbon JF-Expert Member Joined Apr 16, 2022 Posts 25,937 Reaction score 41,104 Apr 13, 2024 #14 Mara baada ya hiyo Ishara, alikata hotuba, Maana aliposema, " wengine wanapewa nguvu na viongozi tunaowaheshimu", Angeendelea zaidi, Leo asingekuwa Ofisini!!
Mara baada ya hiyo Ishara, alikata hotuba, Maana aliposema, " wengine wanapewa nguvu na viongozi tunaowaheshimu", Angeendelea zaidi, Leo asingekuwa Ofisini!!
Manjagata JF-Expert Member Joined Mar 7, 2012 Posts 16,534 Reaction score 18,635 Apr 13, 2024 #15 Halinaga akili hilo! Sina hakika kama lilipata malezi ya wazazi!
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 35,993 Reaction score 104,502 Apr 13, 2024 #16 Huyu mwanamma nae kayataka, unawekaje ofisini jitu bichwa maji kama hilo.
Manjagata JF-Expert Member Joined Mar 7, 2012 Posts 16,534 Reaction score 18,635 Apr 13, 2024 #17 OKW BOBAN SUNZU said: Hadi huruma mama wa watu, lakini kayataka mwenyewe Click to expand... Naye ajirekebishe bwana, siyo kuteuateua tu! Hiyo nafasi huyu mama anipe mimi amtumbue Bashite!
OKW BOBAN SUNZU said: Hadi huruma mama wa watu, lakini kayataka mwenyewe Click to expand... Naye ajirekebishe bwana, siyo kuteuateua tu! Hiyo nafasi huyu mama anipe mimi amtumbue Bashite!