Acha achaa, ila bado akaendelea

Yaani akili yangu ni nyepesi kung'amua mambo mbalimbali...lakin kwa makonda imeshindwa kabisaa
 
Mara baada ya hiyo Ishara, alikata hotuba,

Maana aliposema, " wengine wanapewa nguvu na viongozi tunaowaheshimu",

Angeendelea zaidi, Leo asingekuwa Ofisini!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…