Accountant


This is not a bad deal for a part timer with no degree or CPA qualification, by bongo standards .

Ukichukua wastani wa masaa 5 kwa wiki hapa tuna masaa 20, mshahara wa 12,500 kwa saa.

Kuna watu Marekani hawalipwi hivyo on an hourly basis.

Ila swali ni kweli itakuwa masaa 5 kwa wiki? Au ndiyi kuvutia watu halafu kazi zinakuwa zaidi?
 

Uwe juu Mkuu Katabazi, kama umepata zaidi ya mmoja nitumien contact.
 
Uwe juu Mkuu Katabazi, kama umepata zaidi ya mmoja nitumien contact.

Gwakisa,

Jaribu kumpigia mdogo wangu fulani kwa namba hii (0713 243944) nimejaribu kuongea naye ameonekana kuwa tayari.

Ongea naye kisha mtakutana na kukubaliana terms.
 
Last edited:
Hapo mwanangu unanikumbusha tajiri aliekuwa anatafuta huyo unayemwita accountant, interview yake very simple two plus two ni ngapi ,ukisema nne umekosa, alipokuja mjanja alipoulizwa two plus two ni ngapi, alinyanyuka kitini akafunga milango na madirisha akamuuliza yule bosi kwa sauti ndogo jee unataka niandike ngapi? wa namna hiyo utawapata Yussuf
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…