Accountant Position at CRDB Bank Deadline Sept 30

Accountant Position at CRDB Bank Deadline Sept 30

Tatizo shule hampendi halafu mnaishia kulaumu Wachagga.Iyo inaitwa Inferiority Effect.

Proudly kuwa Mchagga.
 
kwanza sijawhi kusikisa hiyo benki inatangaza nafasi, na nadhani sifa kuu ya kwanza ni kuwa mangi
Hivi kwa nini hakuwataja wanyaki au wale ni siri?
 
Tatizo shule hampendi halafu mnaishia kulaumu Wachagga.Iyo inaitwa Inferiority Effect.

Proudly kuwa Mchagga.
Ndio maana yake, wachagga wanasoma peke yao, na ndo maana wanavigezo vya TRA, Bandari, Hazina, CRDB, BoT !
 
Bank inamambo ya ki-MAKU mno....vijana walipiga field miezi 8 crdb lakini baada ya kumaliza chuo wakanyimwa ht intern kwa kisingizio cha bank haina hela kumbe wanawapa intern na ajira wachaga wenzao ambao hawana hata uzoefu kwa kupitia mlango wa nyuma.kimei akubali kustaafu tu waje watu wenye mawazo mapya.

Sent using Jamii Forums mobile app

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom