This is ----**** job it is like aloevera style but hii inakua ni katika bank,kitu ninacholaaani ni kwa nini wanafanya watu wanakua kama cheap Labour........?dah!complication kibao mwisho wa siku ukija elekezwa kazi yenyewe ya kifala!full kuzunguka kitaa kutafuta wateja wa kukopa! Wasiseme loan offiser waseme tu consultant bhana na ni kama wa. Bayport,B blue au faidika yaaani!mtu unazunguka kila kona ya mji kutafuta wateja wa kukopa!yaaani if u think it iz job ya kukaa imekula kwako!ujue hata ndan ya offisi unaingia saa 2 unasaini unasepa afu jion unaludi! In short u pay according to how much umekopesha watu......komaeni madogo!