Don pole sana
hicho kibenki ni cha hovyo kupindukia
tena shukuru wamekuambia akaunti haina hela,wenzio huwa wanakuta hadi dhamana wamejimilikisha
Mkuu una ushahidi juu ya hili??
ikiwa unaweza waombe adimin waufute huu uzi unaweza kuja kuwa ushahidi dhidi yako
Sent from my M4 using JamiiForums mobile app
Ndugu hio ni bank utafunguliwa kesi ya kimtandao kwa kuichafua cha msingi kusanya ushaidi wa miamala yote ya account na document zengine km receipt na T T Forms kisha mtafute mwanasheria peleka mahakaman maana isije ikawa hackers washafanya fraud na transaction decline mwisho ukaonekana ww ndio mwenye makosa na utatozwa fidia kwa kuichafua benk
Washa moto Don wasikuchezee haooo
Washa moto mpaka kieleweke
We nae una ukiazi kiasi hichi, kwanini umma usijui kama kuna uozo wa hivi wengine wanajifunzia kupitia madhaifu yaliyojitokezaMambo mengine fanya "private communication" badala ya kuweka "Public". Hapa tayari unaharibu taswira (Reputation) ya bank husika kwa kujulisha umma mambo ambayo wewe na bank mngeweza malizana bila umma kufahamu Don Nalimison
Ndiyo.
Duh aiseee
Fuata utaratibu boss, peleka malalamiko yako kwenye dawat la huduma kwa wateja, yasipofanyiwa kaz ndan ya siku 3 peleka kwa meneja wa bank, usipopata suluhisho au usiporudhika na suluhisho muandikie au onana na mkurugenzi wa benk, usiporidhishwa na majibu au wakishindwa kukupa suluhisho ndan ya siku saba unatakiwa upeleke malalamiko yako benk kuu. Usikimbile mahakaman bila kufuata utaratibu, financial consumer protection regulation ya 2019 inatulinda sana wateja wa benk sasa hiv!!!!
wamefanyaje?
Umejuaje kama benki ndo wana uozo??..Tuwe makini,hizi taasisi hazichafuliwi tu hivihivi bila evidence ya kueleweka..We nae una ukiazi kiasi hichi, kwanini umma usijui kama kuna uozo wa hivi wengine wanajifunzia kupitia madhaifu yaliyojitokeza
Hizo ni complain kama complain pia zinajibiwa kwenye platform hizi hizi, najua humuamini mleta mada lakini nimemchukulia tu kama raia mwingine, bank nyingi watu hupoteza kuaminiwa kwa upuzi mdogo mdogo kama huuUmejuaje kama benki ndo wana uozo??..Tuwe makini,hizi taasisi hazichafuliwi tu hivihivi bila evidence ya kueleweka..