Acacia wakitulipa matrilioni yetu napendekeza tulipe deni la taifa kwanza

Mimi nataka NOAH yangu, madeni si huwa yapo tu? Tutalipa tu!
 
KJ kaenda kuweka mambo sawa.......Siyo ajabu kama watalipa 5tr.
Kitakachowafanya walipe hizo trilioni 5 ni ni nini? maana hata assets zao hapa bongo hazifikii hizo hela , nachoona ni mgodi kufungwa tu..
 
kitakachowafanya walipe hizo hela ni nini? maana assets zao hapa bongo hazifikii thamani hiyo, wakiona mnawadai hela nyingi wanaaawchia mgodi wenu.. pengine watakuja na mgongo wa wawekezaji wengine kuingia contract mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…