Kwani unadhani haijulikani kuwa kuna madini mengine. Hiyo inajulikana, ishu yapo kiasi cha kuchenjua na kupata faida. Hivi unajua udongo tunaokanyaga nimadini tupu, je unaweza kuchenjuakutoa iron,copper, kaolin na madini mengine.Miaka 17 wamekuwa wanasafirisha mchanga wenye madini zaidi ya yale wanayolipia. Kama kweli sio wezi wangeshasema kuwa kuna aina nyingine za madini. Lakini leo hii wameshindwa 'KUWANUNUA' viongozi wa Tanzania siri imetoka, wanakuja na ujanja mwingine wa uchunguzi huru.