mpiga dili mzoefu
Senior Member
- Dec 28, 2016
- 123
- 104
Mazungumzo ya ACACIA na serikali yanaanza lini njaa inatuua tunasubiri hela.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahahaMkuu....
Ukilazimisha ushuzi, mwishowe utajinyea.....![]()
![]()
Wepambana na haliyako tu
Acha ndoto za mchana. Hakuna malipo hayo. Usidanganywe na madikteta uchwara.Mazungumzo ya ACACIA na serikali yanaanza lini njaa inatuua tunasubiri hela.
Sent using Jamii Forums mobile app