major mkandala
Member
- Mar 6, 2010
- 74
- 0
Ndugu wapendwa kuna hii bar imefunguliwa majuzi kwa wanaopenda kusafir na dar express ,saydady,metro na mengineyo huwa wanapenda kutulazimisha kwenda kula pale...sikuwa najua ni baada ya kusikia ukipeeka gari mnapewa 20 wewe na dereva...sasa hii ni kero kwa abiria
jamani wiki iliopita napita wakatoa nyama mbichi nikawamwagia....nkaondoka majuzin narudi na metro nakumbana na same stupid nyma mbichi wanalazimisha kugawa watu wakafie mbali....chips wameanza punguza mgao huu ni uhni mwenye hotel embu lifanyie kazi wafanyakazi wako hasa dada mmoja na mwenzio mweusi wanabaki kutucheka...mbaya katoto kamoja kameshindwa kula tukaomba hata wampe ilioiva wakaakataa kabisa...hiii na laaana kama si mwisho wa dunia kumlisha mwenzio damu...
Loh11
jamani wiki iliopita napita wakatoa nyama mbichi nikawamwagia....nkaondoka majuzin narudi na metro nakumbana na same stupid nyma mbichi wanalazimisha kugawa watu wakafie mbali....chips wameanza punguza mgao huu ni uhni mwenye hotel embu lifanyie kazi wafanyakazi wako hasa dada mmoja na mwenzio mweusi wanabaki kutucheka...mbaya katoto kamoja kameshindwa kula tukaomba hata wampe ilioiva wakaakataa kabisa...hiii na laaana kama si mwisho wa dunia kumlisha mwenzio damu...
Loh11