InterestingKuna kijana Fulani hivi (marehemu kwa sasa) nakumbuka alikuwa mgonjwa ni mdogo lakini alikuwa na uzito mkubwa sana, ITV walikuwa wakimripoti alivyokuwa amelazwa Muhimbili, alitakiwa kwenda India lakini ndege zikawa zinamkataa, japo mwishowe Wizara ya Afya ilisaidia akapelekwa India.
Heeee...kuna wamama wana vyura ukikaa nae kwenye basi hun bahati chura anakula siti zote mbili halafu unakuta chura mgumuu mimi napenda sana safarini nikae na mwanaume unakaa comfortable pia lunch na drinks ni free
No free lunch in this worldyaani nipewe kitu bure bure nikatae?
Unatudanganya kila siku uko marekani kumbe uko Iringa?Kuna siku nilikuwa natoka Iringa na basi la Upendo...lile linaloondoka saa kumi na mbili asubuhi.
Nikapata siti ya mwanzo kabisa nyuma ya dreva.
Baadae si ikaja njemba inanuka pombe halafu imelewa. Harufu ilkuwa kali hadi nikamwomba konda anitafutie siti ingine na bahati nzuri aliipata.
La sivyo hata mimi ningeshuka na kwenda ofisini kwao hapo hapo stendi na kudai hela yangu.
Pata picha safari ya masaa 8 umekaa na mtu mwenye harufu mbaya!
Na hizi pua zangu zilivyo nyepesi kunusa harufu mbaya kwa kweli ingekuwa ni jehanamu kwangu.
kiranga wee mshenzy sana hahahHakuna free dunia hii.
Unaweza kufikiri free halafu ukaombwa chura na wewe.
We bonge niaje?
Nimecheka sana kwa hii sentensi.!Si kama ubaguzi ila hili nalo ni la kuangalia upya kwa mfano juzi nilipanda basi nikitokea arusha sasa jirani yangu kuna jamaa bonge na mm nilikuwa upande wa dirishani na basi lenyewe ni la 3x2 seats safari nzima jamaa kanibana kichizi seat ya katikati kakaa mmama naye ni mnene kiac imagine tumefika kia jamaa anataka nisogee tena dirishani the sametime karibu 20% ya seat yangu ni yy kaikali na steal anataka na %flani kwenye hiyo ilobaki ilibidi nimwambie nisogee kuelekea wap sasa maana huku nimefika mwisho!!!!!!
Alifariki kabla ya kupelekwa India. ITV walionyeshaKuna kijana Fulani hivi (marehemu kwa sasa) nakumbuka alikuwa mgonjwa ni mdogo lakini alikuwa na uzito mkubwa sana, ITV walikuwa wakimripoti alivyokuwa amelazwa Muhimbili, alitakiwa kwenda India lakini ndege zikawa zinamkataa, japo mwishowe Wizara ya Afya ilisaidia akapelekwa India.
Haki mtakayopata ni kwamba mtalipia siti mbili. Yaan utasafiri kwa raha sana!!Hii itatusaidia sana sisi wanene kupata haki zetu ndani ya vyombo vya usafiri