Halafu baada ya miaka kadhaa ukiwa bilionea, kuna watu watasema wewe ni free mason! Kisa tu eti ulianza na kuuza simu yako used ili upate hela ya kujikimu, mara umekuja kwenye magauni ya starah!
Baadaye watu watashangaa unamiliki maduka ya kutosha tu makubwa ya nguo pale Kariakoo, huku ukiingiza kontena kadhaa kila wiki kutoka China!