Abdulrahman Kinana: Who is he?

Kinana ana husika na mradi wa kuwapatia uraia wa Tanzania wakimbizi wote wa kisomali walioko Chogo mkoani Tanga.Wakimbizi wa Kikongo,Burundi na Rwanda walikataliwa na kulazimishwa kurejeshwa makwao.

mkuu siunajua zimwi likujualo.......
 


Abdulrahman Kinana amekuwa kama Mwanasiasa wa kutegemewa sana katika duru za siasa za CCM.

Katika vipindi tofauti vya miaka ya Uchaguzi amekuwa akipewa kazi ya kuwa Campaign Manager wa CCM. Kazi hii mara nyingi inahitaji uratibu wa hali ya juu na kubuni mikakati makini itakayopelekea ushindi kwa chama husika.



Lakini karibu katika chaguzi 3 au 4 ambazo yeye amekuwa Manager, sijaona akipewa cheo fulani Serikalini baada ya Ushindi. Hili pia ni suala la kujiuliza ni kwa nini hapewi? Hana uwezo au hataki?



Kwa lugha ya vijana wa mjini Kinana amekuwa kama ni MASTER MIND wa CCM na hivyo katika Siasa za Tanzania.



Katika kampeni zinazoendelea sasa hivi Kinana amekuwa Campaign Manager pia, na amekuwa mara kwa mara akitoa maelezo mbele ya vyombo vya habari huku akionekana ni mtu mwenye kujiamini kupitiliza na ambaye hana papara za aina yoyote . . . . hii imenifanya niwe curious kidogo kutaka kujua kwa undani . . . . Abdulrahman Kinana Ni Nani Hasa?



Wenye details za historia yake na nini anafanya na role yake katika siasa za CCM ni nini tunaomba watujuze.



Naomba Kuwakilisha!
 
Those are qualities of soldiers who can cross mount Everest with only a knife and piece of bread!! Sijui mengine, ila kama kweli anajiamini na ametulia, ndio maana amepewa kazi ya kuwa craft man wa siasa za uchaguzi
 
Those are qualities of soldiers who can cross mount Everest with only a knife and piece of bread!! Sijui mengine, ila kama kweli anajiamini na ametulia, ndio maana amepewa kazi ya kuwa craft man wa siasa za uchaguzi

Mmmh! Yawezekana ikawa ni hivyo tu?

Na historia yake ya U-Soldier ikoje?
 
Kwa ufupi alikuwa na nafasi za juu Serikalini enzi hizo mpaka watu walipoanza kumzushia mambo ya uraia, ndipo hapo akapotea kwenye medani ya siasa za uongozi na kuibuka akiwa anatumika tu kwenye chaguzi!
 
Huyu jamaa amekuwa mkimya kupita kiasi.Hivi alivyogombea ubunge Arusha Mjini alishinda au alishindwa? na Hivi alisomaga nini Harvard?
 
Very Interesting . . . . nimeikuta hii hapa:

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/12529-abdul-rahman-kinana.html

Ingawa haijibu kiu ya kupata details zaidi . . . .

 
This was 2008 - And still 2010 Kinana is still a "Subject Matter"!
 

Eeeh, what a lethal combination! A real soldier and a real business man who can anything at his disposal!!!!!
 
Ukiona kimya hivyo, basi jua ni smart kama watu wanavyosema. Haachi finger wala foot prints sehemu yoyote anayogusa au kukanyaga. Naamini kabisa ni mtu mwenye kutumia akili na master wa soft skills. Vinginevyo asingeweza kupewa kazi ya kushikana mikono na kila mtu ili chama kipate ushindi.

Yeye ni askari wa aina yake. Wengi wakifika rank kama yake jeshini arrogance inatangua hatua kadhaa mbele yao wanapoteza mvuto.

I like those sort of qualities the guy has developed, ukiachilia ya ufanya biashara na yule mfanyabiashara maarufu TZ.
 
Du hii nayo kutoka hapa:

https://www.jamiiforums.com/habari-...-lakini-shehena-la-meno-ya-tembo-silijui.html

 

Unafahamu chochote kuhusu historia yake Jeshini? Nadhani ni Kanali Mstaafu!
 
Abdul Rahman Kinana is king maker,CCM logic board, smart shroud, the guy who can square angles and sharpen corners ,a soldier of fortune. In short is an invisible man behind the scene, Emergency backup and rescue Spiderman cum Superman every time CCM send SOS (save our souls).
 
KINANA A.K.A mfanyabiashara haramu za nyara za Taifa
 
Hivi huyu bwana ana cheo gani katika timu ya kampeni ya CCM ya sasa?
 
Anakumbukwa zaidi kwa "usimamizi" wa kura za CCM. Hii ni kazi ambayo mwanzoni ilifanywa zaidi na Malecela na baadaye Kinana akajifunza kwake namna ya "kusimamia" hizo kura. Hata huko kupewa Uspika wa Bunge la Afrika Mashariki mie nadhani ilikuwa shukrani kwa "usimamizi mzuri wa kura" hapo nyuma.

Na wakati huu naona hawataweza kumtegemea Malecela. "Kazi" itasimamiwa na Kinana tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…