meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Wadau habari za maumivu na furaha baada ya mchakato wa kufyekana ndani ya ccm kukamilika.
Tumezoe kuona wanasiasa wengi hasa vijana wakiibuka kutokana na kupiga siasa kishabiki au kuguata upepo au matukio.
Angalia vijana kama zitto,Mwigulu,Machali,Makonda,Nape na Jussa.
Bila kujali vyama wanavyotoka ni ukweli usiopingika kuwa vijana aina niliowataja hapo juu wanategemea mihemuko ya kisiasa ya viongozi au washabiki wao.Mara nyingi vijana hawa hufifia katika siasa pale matukio na matamko yanapokosa mvuto kwenye jamii.Hawana consistency au agenda wanazozisimamia.
Nometokea kumuona mara chache ndugu Abdul Kambaya na kumsikia mara chache ...bila shaka ni kijana asiye na papara na ninaamini ni mmoja wa strategists hatari ndani ya CUF.Pengine hata viongozi wakubwa ndani ya CUF wamekuwa wakitumia ushauri wake vilivyo.
Namuona kuwa no kijana pontential kwenye uongozi wa nchi hii hapo baadae.
Kwa anayeifahamu cv yake kwa undani atuwekee.
Tumezoe kuona wanasiasa wengi hasa vijana wakiibuka kutokana na kupiga siasa kishabiki au kuguata upepo au matukio.
Angalia vijana kama zitto,Mwigulu,Machali,Makonda,Nape na Jussa.
Bila kujali vyama wanavyotoka ni ukweli usiopingika kuwa vijana aina niliowataja hapo juu wanategemea mihemuko ya kisiasa ya viongozi au washabiki wao.Mara nyingi vijana hawa hufifia katika siasa pale matukio na matamko yanapokosa mvuto kwenye jamii.Hawana consistency au agenda wanazozisimamia.
Nometokea kumuona mara chache ndugu Abdul Kambaya na kumsikia mara chache ...bila shaka ni kijana asiye na papara na ninaamini ni mmoja wa strategists hatari ndani ya CUF.Pengine hata viongozi wakubwa ndani ya CUF wamekuwa wakitumia ushauri wake vilivyo.
Namuona kuwa no kijana pontential kwenye uongozi wa nchi hii hapo baadae.
Kwa anayeifahamu cv yake kwa undani atuwekee.