Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,708
- 8,916
Jina sio geni kwa wale watukutu kama mtakuwa mnakumbuka maeneo ya Magomeni, Manzese, Mburahati, Mbagala na sehemu zingine ambazo kapitia.
Abdala Selamani alikomesha sana wale watukutu na akikupeleka Mahakamani ujue unakwenda jela.
Mateja, wezi, wacheza kamari na n.k . Ukimatwa na Abdala na siku akikuambia unakwenda jela utajuta kila siku ya mahakama yupo mpaka unakwenda jela.
Huyu askari alitakiwa kushika kanda ya pwani maana jeshi la mtu mmoja.
Kituo nachokumbuka alikuwa Magomeni, Dar es Salaam.
Abdala Selamani alikomesha sana wale watukutu na akikupeleka Mahakamani ujue unakwenda jela.
Mateja, wezi, wacheza kamari na n.k . Ukimatwa na Abdala na siku akikuambia unakwenda jela utajuta kila siku ya mahakama yupo mpaka unakwenda jela.
Huyu askari alitakiwa kushika kanda ya pwani maana jeshi la mtu mmoja.
Kituo nachokumbuka alikuwa Magomeni, Dar es Salaam.