Yuko Dar ameolewa ana watoto wawili sasa, zile fujo za big brother zilikuwa nyege tu, sasa ni mke mwema na mama bora wa familia. Anapatikana kwa jina la Abby Plaatjes, mfuate huko mkuu.
Katika miaka ya nyuma japo sio nyuma sana kulikuwa na mshiriki huyu wa Big Brother
Ila pia alikuwa ni mshiriki kutoka A.Kusini alikutana na mshiriki kutoka Uganda kwa jina la Gaitano
Wakaanzisha relationship
Huyu Dada pia aliwahi kupewa kazi EATV katika kipindi cha Nirvana!
Je guys nani ana taarifa za huyu mdada coz yupo kimya sana binafsi nilidhani ana tabia za akina Wema kumbe sio!
Mwenye taarifa zake plz tujuze!
Yuko Dar ameolewa ana watoto wawili sasa, zile fujo za big brother zilikuwa nyege tu, sasa ni mke mwema na mama bora wa familia. Anapatikana kwa jina la Abby Plaatjes, mfuate huko mkuu.