TANZIA Abbas Mwinyi Mtoto wa mstaafu Marehemu Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

TANZIA Abbas Mwinyi Mtoto wa mstaafu Marehemu Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Mtoto wa mstaafu Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Abbas Mwinyi ambae ni Kaka wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Mwinyi Leo Septemba 25 amefariki Dunia akiwa Hospitali ya Lumumba Mjini Unguja.

Abbas Mwinyi ni Mtoto wa Mstaafu Marehemu Mzee Mwinyi ambae kabla ya umauti wake alikua msemaji wa Familia mara baada ya kifo cha Baba yao.

Abbas Ali Hassan Mwinyi alikuwa mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Fuoni kwa miaka 2015 – 2025. Abbas alikuwa msomi, rubani wa ndege na nahodha wa meli. Marehemu alikuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Fuoni kupitia CCM na aliwahi pia kuwa Mbunge wa jimbo hilo kabla.
1758779576753.png

1758779492014.png

Updates (Mazishi September 26, 2025)
SaveClip.App_556105888_18534054691020337_6936772550434113300_n.webp
SaveClip.App_554965816_18534054754020337_5622818987078076809_n.webp
SaveClip.App_554598109_18534054706020337_8083178330118837806_n.webp
SaveClip.App_554460245_18534054724020337_5076189850888331684_n.webp
SaveClip.App_554186295_18534054742020337_4968036166053327534_n.webp
SaveClip.App_552974213_18534054733020337_6482883894527074443_n.webp
 
Mtoto wa mstaafu Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Abbas Mwinyi ambae ni Kaka wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Mwinyi Leo Septemba 25 amefariki Dunia akiwa Hospitali ya Lumumba Mjini Unguja.

Abbas Mwinyi ni Mtoto wa Mstaafu Marehemu Mzee Mwinyi ambae kabla ya umauti wake alikua msemaji wa Familia mara baada ya kifo cha Baba yao.

Pia aliwahi kuwa Mbunge wa Fuoni kati ya mwaka 2015 – 2020.

Mbali na siasa, Abbas Mwinyi alikuwa, rubani wa ndege na pia nahodha wa meli.
 
Mtoto wa mstaafu Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Abbas Mwinyi ambae ni Kaka wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Mwinyi Leo Septemba 25 amefariki Dunia akiwa Hospitali ya Lumumba Mjini Unguja.

Abbas Mwinyi ni Mtoto wa Mstaafu Marehemu Mzee Mwinyi ambae kabla ya umauti wake alikua msemaji wa Familia mara baada ya kifo cha Baba yao.
1758779584743.png
 
Mtoto wa mstaafu Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Abbas Mwinyi ambae ni Kaka wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Mwinyi Leo Septemba 25 amefariki Dunia akiwa Hospitali ya Lumumba Mjini Unguja.

Abbas Mwinyi ni Mtoto wa Mstaafu Marehemu Mzee Mwinyi ambae kabla ya umauti wake alikua msemaji wa Familia mara baada ya kifo cha Baba yao.
View attachment 3478586

===
Abbas Ali Hassan Mwinyi alikuwa mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Fuoni kwa miaka 2015 – 2020. Abbas alikuwa msomi, rubani wa ndege na nahodha wa meli.
View attachment 3478585
إنا لله و إنا إليه راجعون
 
Mtoto wa mstaafu Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Abbas Mwinyi ambae ni Kaka wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Mwinyi Leo Septemba 25 amefariki Dunia akiwa Hospitali ya Lumumba Mjini Unguja.

Abbas Mwinyi ni Mtoto wa Mstaafu Marehemu Mzee Mwinyi ambae kabla ya umauti wake alikua msemaji wa Familia mara baada ya kifo cha Baba yao.

Pia aliwahi kuwa Mbunge wa Fuoni kati ya mwaka 2015 – 2020.

Mbali na siasa, Abbas Mwinyi alikuwa, rubani wa ndege na pia nahodha wa meli.
إنا لله و إنا إليه راجعون
 
Back
Top Bottom