No wonder, wala mi sishangai!
Hawa madaktari na Manesi mbona hizo ni za kawaida kwao?...kwani tumesahau skendo ya hapo majuzi kati ya upasuaji?
Uangalifu hamna, Upendo hakuna, yaani ni kazi ya mshahara, ambayo ni kama vile na wao hawaipendi sijui..!!
Jinsia ya mtoto ni ishu bana... mtu kikosea kwa ishu sensitive kama hiyo ni kosa la jinai!...tuombe Mungu wampate huyo mtoto sahihi, vinginevyo hiyo ndoa iko mashakani. Pia natanguliza pole zangu nyingi sana hiyo couple!