msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,189
Mkuu kuna nchi tayari zinamiliki hizi kitu!Sijazungumzia mashoga wala mabeberu mkuu kwa sababu mimi sio shoga wa jike(la mbuzi).
Concern ni kama hiyo ndege ilishawahi kumilikiwa na airBaltic ama walicancel order tukaichukua?