A Wreath For Fr. Mayer By S. N Ndunguru

A Wreath For Fr. Mayer By S. N Ndunguru

CHIPANJE

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2011
Posts
321
Reaction score
53
Wanajamiiforums, kwa wale waliobahatika kusoma kitabu hiki hakika watakubaliana nami kwamba mwandishi alijitahidi sana kuwa na connectivity nzuri ya matukio na kitabu kimejaa furaha na kutia huruma kwa baadhi ya wahusika.

Nimefurahishwa na safari ya Fr Moyo kule Ukerumani had alipokuja kuwa revealed kuhusu double crimes ya wizi na kifo cha Kalistus. Embu sema wewe kilicokuvutia- tujadili.
 
Wanajamiiforums, kwa wale waliobahatika kusoma kitabu hiki hakika watakubaliana nami kwamba mwandishi alijitahidi sana kuwa na connectivity nzuri ya matukio na kitabu kimejaa furaha na kutia huruma kwa baadhi ya wahusika.

Nimefurahishwa na safari ya Fr Moyo kule Ukerumani had alipokuja kuwa revealed kuhusu double crimes ya wizi na kifo cha Kalistus. Embu sema wewe kilicokuvutia- tujadili.
Upo kidato cha ngapi?
 
Wanajamiiforums, kwa wale waliobahatika kusoma kitabu hiki hakika watakubaliana nami kwamba mwandishi alijitahidi sana kuwa na connectivity nzuri ya matukio na kitabu kimejaa furaha na kutia huruma kwa baadhi ya wahusika.

Nimefurahishwa na safari ya Fr Moyo kule Ukerumani had alipokuja kuwa revealed kuhusu double crimes ya wizi na kifo cha Kalistus. Embu sema wewe kilicokuvutia- tujadili.

I liked it cover si ndo ile ina ua kwa juu, sijawahi kukisoma tho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom