Hello everyone.
Few months ago nilijitokeza hapa nikitafuta mchumba mwenye sifa nilizozitaja hapo lakn walijitokeza watu ambao waliniletea utani mwingi na hatimaye nilikata tamaa lakin kwa sasa najitokeza tena kutafuta mchumba na awe tayari kufanya yafuatayo.
1.kunitumia cheti kinachothibitisha kuwa yeye mwathirika.
2.awe tayari kuongea na kaka yangu before hajaongea na mimi direct.
3.umri kuanzia miaka 25 hadi 35
4.Mkiristo asiye muislam hata kidogo.
5.elimu form four na kuendelea
6.namba moja sio mhimu sana ila iwe ni uhakika kuwa ni HIV postive na awe tayari kupima.
Sitaki utani ,kejeli na matusi kama haujakidhi vigezo usini PM.
Few months ago nilijitokeza hapa nikitafuta mchumba mwenye sifa nilizozitaja hapo lakn walijitokeza watu ambao waliniletea utani mwingi na hatimaye nilikata tamaa lakin kwa sasa najitokeza tena kutafuta mchumba na awe tayari kufanya yafuatayo.
1.kunitumia cheti kinachothibitisha kuwa yeye mwathirika.
2.awe tayari kuongea na kaka yangu before hajaongea na mimi direct.
3.umri kuanzia miaka 25 hadi 35
4.Mkiristo asiye muislam hata kidogo.
5.elimu form four na kuendelea
6.namba moja sio mhimu sana ila iwe ni uhakika kuwa ni HIV postive na awe tayari kupima.
Sitaki utani ,kejeli na matusi kama haujakidhi vigezo usini PM.