A note to the Iregarding the cancellation of the US$500 million loan

Do you have the number of girls who got pregnant as a result of being raped? Siku hizi vitoto vinagawa nyuchi kama karanga alafu mnasema vimebakwa.

Last week nilikuwa Wilaya moja huko Dodoma nikapita hospitali moja nikakuta zoezi la kuwapima mimba waafunzi linaendelea. Nilichokisikia kwa wenyenji kinasikitisha. Wao binafsi wanasikitishwa a hali hiyo kwa watoto wakiuliwa nani kawapa mimba wanaficha wanasema jawajui.

God save us
Thankyou for this.Hawa jamaa wanaotetea upuuzi huu wanajua kabisa kinachoendea,ila wanataka kutuharibia jamii yetu.Watoto wa Sekondari ni malaya sana,hakuna raping.Mtoto anatembea mwenyewe anakwenda guesthouse au kichakani halafu eti kawa raped!Upuuzi gani huu.Hivi hawa watu wanaotetea watoto wakipata mimba warudi shule hawaoni kwamba tukikubali warudi ndio itakuwa kiama.Magufuli akaze boot,no letting.
 
Mwandishi ni mnafiki sana. Anadai mikopo ya hao watu haisaidii nchi husika tofauti na kuzidi kuzifukarisha.

Sasa kama ni hivyo waga wanawekewa pistol shingoni kulazimishwa kwenda kukopa hizo fedha???? Na wakinyimwa kwa ajili ya ujinga wao kwa nini basi wanalialia??? Nonsense kabisa hii.
Hivi unajua maana ya kulilia wewe.I am talking from a point of strength,not weakness.
 
If you don't see that truth,you either have problems in your upstairs and myopic or you are working for the interests of a certain evil entity.Hivi kweli huoni kwamba ukihalalisha ujinga huo, watoto wataona hakuna haja ya kujichunga kwa hiyo wataendeleza promiscuous sex kwa kuwa wanajua tutarudi shuleni?Halafuu, zitakuwa shule gani hizo,pregnant women everywhere and may be even day care centers in schools,maana I know you will come up with that stupid idea later mlivyokuwa wajinga.Your ideas are very laughable indeed.

This is Just too low Nigga. Have you come across anywhere in this world where students are ALLOWED to get pregnat while at school?

Am sure the answer is NO.

We are talking about the aftermath punishment Nigga! its rather too Harsh

I think I should spare my energy for something constructive rather than wasting it here.

Enjoy your weekend boss
[/QUOTE]
Mkuu, the guy is now going to collect his 7,000 tshs from Lumumba corridors as he is already call a day, don't waste your energy fighting with him.
 
Do they report the rape?

God save us
Mkuu they can't report because they did it through consent.Hivi vitoto ni vimalaya sana mkuu,wewe acha tu,utafikiri vimechanjiwa hivii.Halafu eti vinakuwa raped,nonsense.
 
NB:The title should read: A note to the World Bank regarding the cancellation of the US$500 million loan


The World Bank’s postponement or even cancellation of the US$500 million loan to Tanzania have to be viewed as indeed a blessing in disguise.

Historically, the World Bank, the IMF and other multilateral lending agencies have never loaned 3rd World countries with the sole purpose of helping those nations to stand on their own feet.They have not done it before, and there is no reason to believe that they are going to do it today.

When Tanzania and Zambia in the 1970s decided to build the Uhuru Railway(TAZARA), the World Bank, the IMF and Western lending agencies dismissed the project as unviable. But was it?

When Tanzania decided to revive the Mwalimu Nyerere Hydroelectric Dam project in Rufiji, the same Institutions deemed the project unviable and a violation of the United Nations designated World Heritage status of the area. This is very hipocritical,because the same institutions maintain many five star hotels in the area and the same institutions have airports as well as mining Uranium in the same area. Is this not a contradiction?

Today, out of the blues, the World Bank has declined to provide Tanzania
a US$500 million loan for education. Why?


They want us to take the loan and then allow pregnant secondary school pupils to continue with their education,which is synonymous to allowing prostitution in our schools.


The World Bank,the IMF need to understand that everything in this world has a price; but not everything with a price has to be sold.

Similarly, not every loan or grant need to be accepted.
Ivi kwani did they force Tanzania to apply for the loan au sisi na umaskini wetu ndo tuliwafuata kuomba watukopeshe? Na kama sisi ndo tuliwafuata, sasa tunatapa tapa kitu gani... it's their money, so let them do as they wish; you either agree to their conditions or not, period. Haya maneno maneno mengine ni ya mfa maji tu - haishi kutapatapa siku zote. They have got nothing to lose... the question is haven't we?
 
Do you have the number of girls who got pregnant as a result of being raped? Siku hizi vitoto vinagawa nyuchi kama karanga alafu mnasema vimebakwa.

Last week nilikuwa Wilaya moja huko Dodoma nikapita hospitali moja nikakuta zoezi la kuwapima mimba waafunzi linaendelea. Nilichokisikia kwa wenyenji kinasikitisha. Wao binafsi wanasikitishwa a hali hiyo kwa watoto wakiuliwa nani kawapa mimba wanaficha wanasema jawajui.

God save us

Haya
 
Ivi kwani did they force Tanzania to apply for the loan au sisi na umaskini wetu ndo tuliwafuata kuomba watukopeshe? Na kama sisi ndo tuliwafuata, sasa tunatapa tapa kitu gani... it's their money, so let them do as they wish; you either agree to their conditions or not, period. Haya maneno maneno mengine ni ya mfa maji tu - haishi kutapatapa siku zote. They have got nothing to lose... the question is haven't we?
This is a hate talk which does not wish our country well.It is as if you are an alien,and not a Tanzanian.Anyway despite your ill wish, the government is determined to bring development to Tanzanians.Our enemies will not deter us.
 
This is a hate talk which does not wish our country well.It is as if you are an alien,and not a Tanzanian.Anyway despite your ill wish, the government is determined to bring development to Tanzanians.Our enemies will not deter us.
Mimi ni Mtanzania halisi na najisikia fahari kuwa Mtanzania, but I am not brainwashed into believing that my government is always right. In-fact this government includes politicians and employees who use poor judgment or are guilty of abuse of power. And I believe 'our president' was wrong when he made these statements; Nanukuu...

1. 'Throw away contraceptives'
Mr Magufuli made his comments at a rally on Sunday in the northern Meatu district, saying people who use family planning methods were lazy, the local Citizen newspaper quoted him as saying. "They do not want to work hard to feed a large family. And that is why they opt for births controls and end up with one or two children only," he said. "I have travelled to Europe and elsewhere and have seen the harmful effects of birth control. Some countries are now facing declining population growth... Women can now throw away their contraceptives. Education is now free."

2. After getting pregnant, you are done’
“As long as I am president … no pregnant student will be allowed to return to school … After getting pregnant, you are done... After calculating some few mathematics, she’d be asking the teacher in the classroom ‘Let me go out and breastfeed my crying baby,’” he said.

Kwa hiyo, ingawa mimi ni Mtanzania lakini I am against these controversial statements, plus the Deterioration of Civil Liberties and Human Rights... which have become common under this government.

A good government would apologize fast and find a recourse instead of just meandering around politics. And, hali ya uchumi ni ngumu kuliko ilivyokuwa utawala uliopita; ni kweli amenunua ndege lakini kwa mimi mkulima ndege haina msaada. Elimu bure bila madarasa na vitendea kazi ni upuuzi tu,... na kuvibania vyama vyenye mawazo mbadala (a.k.a vyama vya upinzani) visifanye siasa ilhali yeye na chama chake wanafanya - it is disgusting.
 
Mimi ni Mtanzania halisi na najisikia fahari kuwa Mtanzania, but I am not brainwashed into believing that my government is always right. In-fact this government includes politicians and employees who use poor judgment or are guilty of abuse of power. And I believe 'our president' was wrong when he made these statements; Nanukuu...

1. 'Throw away contraceptives'
Mr Magufuli made his comments at a rally on Sunday in the northern Meatu district, saying people who use family planning methods were lazy, the local Citizen newspaper quoted him as saying. "They do not want to work hard to feed a large family. And that is why they opt for births controls and end up with one or two children only," he said. "I have travelled to Europe and elsewhere and have seen the harmful effects of birth control. Some countries are now facing declining population growth... Women can now throw away their contraceptives. Education is now free."

2. After getting pregnant, you are done’
“As long as I am president … no pregnant student will be allowed to return to school … After getting pregnant, you are done... After calculating some few mathematics, she’d be asking the teacher in the classroom ‘Let me go out and breastfeed my crying baby,’” he said.

Kwa hiyo, ingawa mimi ni Mtanzania lakini I am against these controversial statements, plus the Deterioration of Civil Liberties and Human Rights... which have become common under this government.

A good government would apologize fast and find a recourse instead of just meandering around politics. And, hali ya uchumi ni ngumu kuliko ilivyokuwa utawala uliopita; ni kweli amenunua ndege lakini kwa mimi mkulima ndege haina msaada. Elimu bure bila madarasa na vitendea kazi ni upuuzi tu,... na kuvibania vyama vyenye mawazo mbadala (a.k.a vyama vya upinzani) visifanye siasa ilhali yeye na chama chake wanafanya - it is disgusting.
Hivi unajua side effects za contraceptives wewe kweli.It is a disaster to our women and children.Just google,utapata jibu.Yes,the president was correct,throw away contraceptives.

Na kuhusu watoto kutorudi shuleni baada ya kupata mimba,he is correct,hatuwezi kuhamasisha na kuhalalisha umalaya mashuleni.Ninyi mnatumiwa tu na evil entities,lakini sidhani kama kweli you believe in such nonsense.
 
Hivi unajua side effects za contraceptives wewe kweli.It is a disaster to our women and children.Just google,utapata jibu.Yes,the president was correct,throw away contraceptives.Na kuhusu watoto kutorudi shuleni baada ya kupata mimba,he is correct,hatuwezi kuhamasisha na kuhalalishi umalaya mashuleni.Ninyi mnatumiwa tu na evil entities lakini sidhani kama kweli you believe in such nonsense.
Hakuna asiyejua side effects za contraceptives, hata wao waliozitengeneza wanajua. Na wale wanaozitumia wanajua pia, kwa hiyo siyo kazi ya Rais kuwaambia watu kitu ambacho wanakijua tayari. Na ukweli ni kuwa hazijaanza kutumika jana wala juzi, na hazitaacha kutumika leo wala kesho... Sigara zina madhara kuliko contraceptives kwasabu zinamdhuru anaetumia mpaka aliejirani na anayevuta lakini mbona hazijapigwa marufuku? Are cigarettes safer than contraceptives... if not kwanini usianze kuzuia vitu vyenye madhara zaidi kabla hujafika kwenye vile ambavyo vina faida kubwa na madhara kidogo.

Kwa upande wa mabinti wanaopata mimba, mpaka sasa takribani mabinti 8,000 kila mwaka wanapata ujauzito wakiwa bado shuleni. Ukiwazuia kutoendelea na masomo, hupunguzi tatizo wala kuliondoa bali unaongeza matatizo mengine. Hawa watoto 8,000 wataenda kujifungua na watashindwa kuendelea na masomo hivyo wataendelea kuzaa... na kwa kukosa kwao elimu usitegemee watawahimiza watoto wao kusoma. Mwisho tutakuwa na kizazi cha mapoyoyo tupu.

Infact, mabinti wengi wanapata ujauzito isipokuwa wanatoa. Kwa hiyo, kauli ya Rais haitatui changamoto bali inaongeza matatizo mengine zaidi... na ndio maana wanaomuunga mkono ni wale walionyweshwa maji ya bendera ya chama... kama wewe.

So it's ujinga wa kiwango cha flyover to assume that kupiga marufuku kila kitu ndio suluhisho.
 
Hakuna asiyejua side effects za contraceptives, hata wao waliozitengeneza wanajua. Na wale wanaozitumia wanajua pia, kwa hiyo siyo kazi ya Rais kuwaambia watu kitu ambacho wanakijua tayari. Na ukweli ni kuwa hazijaanza kutumika jana wala juzi, na hazitaacha kutumika leo wala kesho... Sigara zina madhara kuliko contraceptives kwasabu zinamdhuru anaetumia mpaka aliejirani na anayevuta lakini mbona hazijapigwa marufuku? Are cigarettes safer than contraceptives... if not kwanini usianze kuzuia vitu vyenye madhara zaidi kabla hujafika kwenye vile ambavyo vina faida kubwa na madhara kidogo.

Kwa upande wa mabinti wanaopata mimba, mpaka sasa takribani mabinti 8,000 kila mwaka wanapata ujauzito wakiwa bado shuleni. Ukiwazuia kutoendelea na masomo, hupunguzi tatizo wala kuliondoa bali unaongeza matatizo mengine. Hawa watoto 8,000 wataenda kujifungua na watashindwa kuendelea na masomo hivyo wataendelea kuzaa... na kwa kukosa kwao elimu usitegemee watawahimiza watoto wao kusoma. Mwisho tutakuwa na kizazi cha mapoyoyo tupu.

Infact, mabinti wengi wanapata ujauzito isipokuwa wanatoa. Kwa hiyo, kauli ya Rais haitatui changamoto bali inaongeza matatizo mengine zaidi... na ndio maana wanaomuunga mkono ni wale walionyweshwa maji ya bendera ya chama... kama wewe.

So it's ujinga wa kiwango cha flyover to assume that kupiga marufuku kila kitu ndio suluhisho.
Nonsense.Kibinti kimetongozwa,kinatangulia chenyewe kwenda kichakani au guest house kufanya ngono zembe,halafu mnataka kutuamisha kwamba eti kimebakwa!
Waliokubali upuuzi huu frankly nao ni vibaraka wa evil entities au hamnazo.Mbaya zaidi eti kikipata mimba kwa umalaya wake tena ukionee huruma kiendelee na masomo na kikijifungua tena eti kiruhusiwe kuendelea na masomo!Nonsense,
hatukifugi.

Kwa hiyo una shule ambayo kuna wanaoendelea na ngono,kuna wenye mimba,kuna akina mama wanaonyonyesha,kuna daycare centre,duh,what kind of school is that.Jamani msitufanye wajinga,toeni upuuzi wenu huko.Magufuli kaza kamba,no letting.
 
Nonsense.Kibinti kimetongozwa,kinatangulia chenyewe kwenda kichakani au guest house kufanya ngono zembe,halafu mnataka kutuamishwa kwemba eti kimebakwa!
Waliokubali upuuzi huu frankly nao ni vibaraka wa evil entities au hamnazo.Mbaya zaidi eti kikipata mimba kwa umalaya wake eti tena ukionee huruma kiendelee na masomo na kikijifungua tena eti kiruhusiwe kuendelea na masomo!Nonsense,
hatukifugi.

Kwa hiyo una shule ambayo kuna wanaoendelea na ngono,kuna wenye mimba,kuna akina mama wanaonyonyesha,kuna daycare centre,duh,what kind of school is that.Jamani msitufanye wajinga,toeni upuuzi wenu huko.Magufuli kaza kwamba,no letting.
Oh really? Basi sawa, I hope atakaza mpaka mwisho - at the expense of poor social services; Soon mashirika yote makubwa ya misaada yataanza kuchomoka moja baada ya jingine, hapo ndipo tutajua nani hamnazo.

As for you, I hope huna mtoto wa kike au ndugu wa kike anaesoma shule za kata - ungekuwa nae ungejua uhalisia wa mambo na usingekuwa na mtazamo ulionao. Ngoja tuone itakavyokuwa... muda utahukumu.
 
Oh really? Basi sawa, I hope atakaza mpaka mwisho - at the expense of poor social services; Soon mashirika yote makubwa ya misaada yataanza kuchomoka moja baada ya jingine, hapo ndipo tutajua nani hamnazo.

As for you, I hope huna mtoto wa kike au ndugu wa kike anaesoma shule za kata - ungekuwa nae ungejua uhalisia wa mambo na usingekuwa na mtazamo ulionao. Ngoja tuone itakavyokuwa... muda utahukumu.
Tukiwafumbia macho hawa nchi itakuwa nchi ya watoto wa mtaani,madanguro na malaya wanaozunguuka mahotelini kuuza miili yao.We won't,lazima tuwe wakali.Katika hili we will be stringent.

Finally,ninao watoto lakini sitaki waamini katika upuuzi huo,they must be disciplined.
 
Back
Top Bottom