A note to the Iregarding the cancellation of the US$500 million loan

Kuna wakati Zitto Kabwe apewe tuzo.

Unaona sasa Wana CCM wameanza kuandika hata kithungu wakijua mabeberu watasoma na kubadili mazimio.
 
Huwezi kuona hao waliotendwa kwa sababu umevaa miwani ya mbao, All in All, hao jamaa wana hela zao nyinyi ndio mnaoganga njaa, kwa hiyo sielewi unapata wapi ujasiri wa kuwahoji, muulize Baba yenu Kabudi alivyokuwa mpole siku anahojiwa juu ya hali yz siasa hapa nchini
Sisi ndio tunao ganga njaa au wewe ndiye unayeganga njaa ili kusaidia ujinga wa hao watu wenu ukubadilike kwenye jamii zetu.Hamna aibu kabisa,mnapiga debe ili umalaya usambae mashuleni?Nadhani ndio ninyi ninyi mnaotumiwa kuhalalilisha ushoga na ndoa za jinsia moja kupitia kwenye vi-NGO walivyo wamilikisha.Sijui wapuuzi hao wanawalipa kiasi gani mpaka mnakubali kupotosha ndugu zenu.Muone aibu jamani,ovyo kabisa.
 
[QUOTE="

They want us to take the loan and then allow pregnant secondary school pupils to continue with their education,which is synonymous to allowing prostitution in our schools.

Really?????
[/QUOTE]
If you don't see that truth,you either have problems in your upstairs and myopic or you are working for the interests of a certain evil entity.Hivi kweli huoni kwamba ukihalalisha ujinga huo, watoto wataona hakuna haja ya kujichunga kwa hiyo wataendeleza promiscuous sex kwa kuwa wanajua tutarudi shuleni?Halafuu, zitakuwa shule gani hizo,pregnant women everywhere and may be even day care centers in schools,maana I know you will come up with that stupid idea later mlivyokuwa wajinga.Your ideas are very laughable indeed.
 
Really?????
If you don't see that truth,you either have problems in your upstairs and myopic or you are working for the interests of a certain evil entity.Hivi kweli huoni kwamba ukihalalisha ujinga huo, watoto wataona hakuna haja ya kujichunga kwa hiyo wataendeleza promiscuous sex kwa kuwa wanajua tutarudi shuleni?Halafuu, zitakuwa shule gani hizo,pregnant women everywhere and may be even day care centers in schools,maana I know you will come up with that stupid idea later mlivyokuwa wajinga.Your ideas are very laughable indeed.
[/QUOTE]

This is Just too low Nigga. Have you come across anywhere in this world where students are ALLOWED to get pregnat while at school?

Am sure the answer is NO.

We are talking about the aftermath punishment Nigga! its rather too Harsh

I think I should spare my energy for something constructive rather than wasting it here.

Enjoy your weekend boss
 
Mwandishi ni mnafiki sana. Anadai mikopo ya hao watu haisaidii nchi husika tofauti na kuzidi kuzifukarisha.

Sasa kama ni hivyo waga wanawekewa pistol shingoni kulazimishwa kwenda kukopa hizo fedha???? Na wakinyimwa kwa ajili ya ujinga wao kwa nini basi wanalialia??? Nonsense kabisa hii.
Kama mikopo ingekuwa inasaidia tungekuwa tumepiga hatua zamani sana.Mikopo haisaidii kabisa mkuu,inaishia kuliwa tu na wajanja wachache wakiwepo wakopeshaji wenyewe.This should be clear to a sensible person.

The most recent example ni hii dili ya kishenzi ya Kangi Lugola.Kama kweli wanataka kutusaidia waje waanzishe mashamba makubwa,viwanda nk.nk.ili watu wetu wapate ajira.Mikopo hatuitaki kwa kuwa ni biashara za za kishenzi za kinyonyaji.
 
NB:The title should read: A note to the World Bank regarding the cancellation of the US$500 million loan


The World Bank’s postponement or even cancellation of the US$500 million loan to Tanzania have to be viewed as indeed a blessing in disguise.

Historically, the World Bank, the IMF and other multilateral lending agencies have never loaned 3rd World countries with the sole purpose of helping those nations to stand on their own feet.They have not done it before, and there is no reason to believe that they are going to do it today.

When Tanzania and Zambia in the 1970s decided to build the Uhuru Railway(TAZARA), the World Bank, the IMF and Western lending agencies dismissed the project as unviable. But was it?

When Tanzania decided to revive the Mwalimu Nyerere Hydroelectric Dam project in Rufiji, the same Institutions deemed the project unviable and a violation of the United Nations designated World Heritage status of the area. This is very hipocritical,because the same institutions maintain many five star hotels in the area and the same institutions have airports as well as mining Uranium in the same area. Is this not a contradiction?

Today, out of the blues, the World Bank has declined to provide Tanzania
a US$500 million loan for education. Why?


They want us to take the loan and then allow pregnant secondary school pupils to continue with their education,which is synonymous to allowing prostitution in our schools.


The World Bank,the IMF need to understand that everything in this world has a price; but not everything with a price has to be sold.

Similarly, not every loan or grant need to be accepted.
SO what's your point?
 
Kama mikopo ingekuwa inasaidia tungekuwa tumepiga hatua zamani sana.Mikopo haisaidii kabisa mkuu,inaishia kuliwa tu na wajanja wachache wakiwepo wakopeshaji wenyewe.This should be clear to a sensible person.

The most recent example ni hii dili ya kishenzi ya Kangi Lugola.Kama kweli wanataka kutusaidia waje waanzishe mashamba makubwa,viwanda nk.nk.ili watu wetu wapate ajira.Mikopo hatuitaki kwa kuwa ni biashara za za kishenzi za kinyonyaji.
Baba huu mkopo wa sasa hivi ulisubiriwa sana.
Ilikuwa ni pesa ya uchaguzi
 
NB:The title should read: A note to the World Bank regarding the cancellation of the US$500 million loan


The World Bank’s postponement or even cancellation of the US$500 million loan to Tanzania have to be viewed as indeed a blessing in disguise.

Historically, the World Bank, the IMF and other multilateral lending agencies have never loaned 3rd World countries with the sole purpose of helping those nations to stand on their own feet.They have not done it before, and there is no reason to believe that they are going to do it today.

When Tanzania and Zambia in the 1970s decided to build the Uhuru Railway(TAZARA), the World Bank, the IMF and Western lending agencies dismissed the project as unviable. But was it?

When Tanzania decided to revive the Mwalimu Nyerere Hydroelectric Dam project in Rufiji, the same Institutions deemed the project unviable and a violation of the United Nations designated World Heritage status of the area. This is very hipocritical,because the same institutions maintain many five star hotels in the area and the same institutions have airports as well as mining Uranium in the same area. Is this not a contradiction?

Today, out of the blues, the World Bank has declined to provide Tanzania
a US$500 million loan for education. Why?


They want us to take the loan and then allow pregnant secondary school pupils to continue with their education,which is synonymous to allowing prostitution in our schools.


The World Bank,the IMF need to understand that everything in this world has a price; but not everything with a price has to be sold.

Similarly, not every loan or grant need to be accepted.
"the same institutions maintain many five star hotels in the area and the same institutions have airports as well as mining Uranium in the same area." Mkuu unaweza weka nyama kidogo au andiko rejea?
 
NB:The title should read: A note to the World Bank regarding the cancellation of the US$500 million loan


The World Bank’s postponement or even cancellation of the US$500 million loan to Tanzania have to be viewed as indeed a blessing in disguise.

Historically, the World Bank, the IMF and other multilateral lending agencies have never loaned 3rd World countries with the sole purpose of helping those nations to stand on their own feet.They have not done it before, and there is no reason to believe that they are going to do it today.

When Tanzania and Zambia in the 1970s decided to build the Uhuru Railway(TAZARA), the World Bank, the IMF and Western lending agencies dismissed the project as unviable. But was it?

When Tanzania decided to revive the Mwalimu Nyerere Hydroelectric Dam project in Rufiji, the same Institutions deemed the project unviable and a violation of the United Nations designated World Heritage status of the area. This is very hipocritical,because the same institutions maintain many five star hotels in the area and the same institutions have airports as well as mining Uranium in the same area. Is this not a contradiction?

Today, out of the blues, the World Bank has declined to provide Tanzania
a US$500 million loan for education. Why?


They want us to take the loan and then allow pregnant secondary school pupils to continue with their education,which is synonymous to allowing prostitution in our schools.


The World Bank,the IMF need to understand that everything in this world has a price; but not everything with a price has to be sold.

Similarly, not every loan or grant need to be accepted.
Tell the leader of angels ,as he regularly speaks that "we're very rich ".
Does a rich weep for a loan?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"the same institutions maintain many five star hotels in the area and the same institutions have airports as well as mining Uranium in the same area." Mkuu unaweza weka nyama kidogo au andiko rejea?
Mmm,naomba uweka nyama mwenyewe mkuu,sasa nitakutafunia kila kitu?
 
I don't understand you Tanzanians, some are saying they need the Loan, and you now say we don't need the loan, so which is which ?.
I will repeat,we need loans,just like America,Italy or Portugal does,but not loans with strings attached.For your information America has Chinese loans.
 
Kama mikopo ingekuwa inasaidia tungekuwa tumepiga hatua zamani sana.Mikopo haisaidii kabisa mkuu,inaishia kuliwa tu na wajanja wachache wakiwepo wakopeshaji wenyewe.This should be clear to a sensible person.

The most recent example ni hii dili ya kishenzi ya Kangi Lugola.Kama kweli wanataka kutusaidia waje waanzishe mashamba makubwa,viwanda nk.nk.ili watu wetu wapate ajira.Mikopo hatuitaki kwa kuwa ni biashara za za kishenzi za kinyonyaji.
Swali liko pale pale, nani anawalazimisha kukopa? Na wakishakopeshwa wanaziiba tena.!!

Hilo la kusema wakopeshaji nao wanashiriki wizi sio kweli labda ututhibitishie..shida yako ndio inakufanya ukope tena unabembeleza ukopeshwe. Matatizo yako kwetu, tusilaumu wakopeshaji.
 
I will repeat,we need loans,just like America,Italy or Portugal does,but not loans with strings attached.For your information America has Chinese loans.
If you want loans without strings attached, you can maybe move to another planet.
 
NB:The title should read: A note to the World Bank regarding the cancellation of the US$500 million loan


The World Bank’s postponement or even cancellation of the US$500 million loan to Tanzania have to be viewed as indeed a blessing in disguise.

Historically, the World Bank, the IMF and other multilateral lending agencies have never loaned 3rd World countries with the sole purpose of helping those nations to stand on their own feet.They have not done it before, and there is no reason to believe that they are going to do it today.

When Tanzania and Zambia in the 1970s decided to build the Uhuru Railway(TAZARA), the World Bank, the IMF and Western lending agencies dismissed the project as unviable. But was it?

When Tanzania decided to revive the Mwalimu Nyerere Hydroelectric Dam project in Rufiji, the same Institutions deemed the project unviable and a violation of the United Nations designated World Heritage status of the area. This is very hipocritical,because the same institutions maintain many five star hotels in the area and the same institutions have airports as well as mining Uranium in the same area. Is this not a contradiction?

Today, out of the blues, the World Bank has declined to provide Tanzania
a US$500 million loan for education. Why?


They want us to take the loan and then allow pregnant secondary school pupils to continue with their education,which is synonymous to allowing prostitution in our schools.


The World Bank,the IMF need to understand that everything in this world has a price; but not everything with a price has to be sold.

Similarly, not every loan or grant need to be accepted.

- HICHO KICHWA CHA HABARI HAKISOMEKI!
 
Swali liko pale pale, nani anawalazimisha kukopa? Na wakishakopeshwa wanaziiba tena.!!

Hilo la kusema wakopeshaji nao wanashiriki wizi sio kweli labda ututhibitishie..shida yako ndio inakufanya ukope tena unabembeleza ukopeshwe. Matatizo yako kwetu, tusilaumu wakopeshaji.
Sina haja ya kuthibisha kwamba mikopo kiasi kikubwa kinarudi kwa wakopesha in various forms,that is obvious.Inaelekea wewe ni mgeni sana katika mambo ya mikopo kasome!And then ni kweli hatulazimishwi kukopa,hii ni mifumo tu ya international cooperation.Mbona hata Marekani wana kopa kutoka China mkuu.Kukopa sio shida,kila taifa linakopa.
 
If you want loans without strings attached, you can maybe move to another planet.
Loans from Scandinavian countries and China have decent terms.The IMF and the World Bank are squickers,they literally siphon out your brain and attach very immoral terms.
 
What about those children who were raped? Are you real calling these children prostitute? Seriously, a 12 years old girl who may have not agreed to sex?
Do you have the number of girls who got pregnant as a result of being raped? Siku hizi vitoto vinagawa nyuchi kama karanga alafu mnasema vimebakwa.

Last week nilikuwa Wilaya moja huko Dodoma nikapita hospitali moja nikakuta zoezi la kuwapima mimba waafunzi linaendelea. Nilichokisikia kwa wenyenji kinasikitisha. Wao binafsi wanasikitishwa a hali hiyo kwa watoto wakiuliwa nani kawapa mimba wanaficha wanasema jawajui.

God save us
 
Back
Top Bottom