Zero IQ
@behaviorst
GuDume
na wachakataji wote
Karibuni huku.
Binti usimsahau tajiri wetu wa hapa jf ni Kiduku Lilo
Ha ha ha ππππππ... Mwambie anitumie picha yake nimwone. Na umfahamishe mimi ndo mmiliki wa hii mitandao ya kijamii afahamu kabisa.asiponitreat vizuri nitamwondoa mitandao yote na kum block.
Kama ukipata tatizo lolote la ulozi mwambie Mshana Jr
King wa misimamo thabiti Kiranga
Huyu Zero IQ yeye anauza kiepe.
Usiogope mkuu,hivi vitu kawaida sana na inatakiwa uvizoee...cha msingi usimuamini mtu kwa mara ya kwanza eti kwasababu tu anajiweka kinamna flaniiOhooo kumbe, nimeogopaa
Hahaha mpaka leo huyo jamaa namuita indutu maana aliniambia alafu nikaongea kwa nguvu mbele ya watu nikashangaa watu wananiangalia kinoma huku jamaa anacheka hana mbavualikosea sana kukufundisha hilo neno, itakua Dada Wa watu kashindwa kuelewa kumbe Jf ndyo iko hivi
Hahaha naijua ni tamu balaaUnaifahamu hiyo ndude?
ππUpo vizuri dada
ππMuonyeshe mitaa mgeni asijeingia shimoni!Aaah, namuonea huruma watu wanavyomchorajf noma eti weka na namba za simu duuh,afu home girl huyuu bora angenicheki sister ake nimpe ABCs za jf
ππ haya mambo yanawezekana! kwa pande zote mbili, anaweza kuwa ni mtu yupo kazini anatafuta watu wake au ni ugeni kweli. Ngoja tuone muda utaleta mrejesho maana humu mabaharia nao hawashindwi.Mkuu unafikiri kila mtu anayejionesha kwako kuwa ni mshamba anakuwa mshamba kweli??...mwingine ili uingie kichwakichwa mazima lazima ajifanye mshamba kweli ujichanganye...Diwani athman kateuliwa juzi tu,usikute ndo kashaanza kazi hivi
Kisera ππΆKweli. Acha mabaharia wamkarinishe. Wammege kisera
Ukipewa hiyo na asali,utaacha kuendelea kuramba asali,hiyo ndude ikifikia ukomo wa utamuHahaha naijua ni tamu balaa
Ahh bwana mtaalam wa feza jiongeze... kidogo.Nambie Mimi kitu gani hicho unataka umwambie baada ya kuona picha zake tuu, andika unavyotaka kumwambia ili nifanyie auditing kabla sijaruhusu
umeshapata na avatar ya asali karibu mwana mbeyaDuuuh
Ukipewa hiyo na asali,utaacha kuendelea kuramba asali,hiyo ndude ikifikia ukomo wa utamu
Lete namba shemeji............waoooo................Hellow wana Jamii Forum mie ni mgen tuu naomben ushirikiano wenu na mapokez mazur,,nawapendaView attachment 1209465