A man 35-45


mimi nimehamia Msata je nitafute nauli nirudi DAR????????????
 
nina kaka yangu yupo na 35,hajaona ila ana watoto wanne kila mtoto na mama yake.
 
hahahahahaha kama kweli mapenzi yanapatikana popote mbona watu hamrudi kushukuru JF kwa kuwafanya wapenzi,nshaona matanga kama haya karibia elfu 10 hapa,samahani lakini kama nimekukera
 
Mtu anaemuhofia mungu hawezi kuanza kuzini naww halafu baadae ndo awe mumeo
 
hahahahahaha kama kweli mapenzi yanapatikana popote mbona watu hamrudi kushukuru JF kwa kuwafanya wapenzi,nshaona matanga kama haya karibia elfu 10 hapa,samahani lakini kama nimekukera
wala hujankera ila nahc nkipata ntakuja kushukuru shaka ondoa
 
Reactions: lin
wala hujankera ila nahc nkipata ntakuja kushukuru shaka ondoa

Nimefuatilia majibu yako katika post hii, nimeona dalili fulani za hulka ya mwanamke. Naelekea kwa PM sasa hivi. Hebu twende
 
Jitokezeni basi jamani,mwenzenu yupo serious
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…