Nimefika. Hapa federal repablica du brasil nimeshangaa kuona vijana wakibongo wapo kibao wanambana na maisha ,du kweli Tanzania uchumi umeanguka mbaka vijana wote wanakimbia nchi @ CCM mbele kwa mbele Nazan Bongo wamebaki wazeee tu vijana wote wamekimbia nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app