Tatizo uelewa na ujasiri wa kuthubutu watanzania wa sasa ni waoga sana na hawajali ni sawa na watoto hudanganywa kiurahisi kwa kupewa kofia na kanga,ukiangalia angalau kidogo mijini kuna muamuko wa kujua mazuri na mabaya,huko vijijini ndiko kuna ukosefu mkubwa wa huduma na ndiko kuna watu wengi lakini unapowaambia CCM ndio imewafikisha hapo na angalieni upande mwingine hawakuelewi wanakuona mhuni sasa watu wavijijini mpira ndo huo uko kwenu,chagueni kusuka au kunyoa