Sina jazba kabisa, sina Shaka na ninachokiamini, hivyo ninaweza kutetea ninakiamini wakati wowote lakini pia sina hofu kuhusu chochote na yeyote katika mababa wa Imani na mitume sina Shaka na mienendo yao kwa kuwa walikiishi kile wanachokiamini hivyo hakuna hoja unayoweza toa Muislam wewe itayopunguza hadhi wala heshima zao.
Mimi nakuhoji kuhusu Allah na Muhammad kwa kuwa ndiyo wakuu wa Uislam.
Acha porojo toa hoja kujibu hoja sielewi unapodai ushahidi Una maana gani ? Wataka ushahidi gani kwa mungu wa kusadikika ?
Ushahidi ni kwamba hayo unayoyaeleza umeyapata wapi au yanapatikana wapi? Maana tukianza kujadili mambo ambayo hata vyanzo vya upatikanaji uwake haujulikani tutaishia kukashifiana imani zetu na si jambo zuri.
Nafikiri umenielewa...Maana tukianza tu kila mtu akazowe yaliyoandikwa kwn mitandao kuhusu imani mwenzie bila ya ushahidi itakuwa fujo.
Hutaki tu tuelewane coz hutaki kujibu yale maswali.
Labda nikuulize. Jee wavumbuzi woote waliogundua vitu duniani wanajua kusoma na kuandika? Kusoma na kuandika kunasaidia nini kuvumbua kitu kipya? Hutaki kukubali kwamba kunawavumbuzi wasiojua kusoma na zaidi wa miaka hiyo. ukiwa unashindwa kujibu yale maswali basi.
Dr. T. V. N. Persaud ni Profesa wa Anatomia (sayansi inayohusu mwili na viungo vyake jinsi vilivyo, Profesa wa Matibabu ya watoto na magonjwa yao (Pediatrics) na Afya ya Mtoto, na Profesa wa Ukunga, Jinakolojia (Elimuuzazi), na Sayansi ya mambo ya Uzazi katika Chuo Kikuu cha Minatoba, Winnipeg, Manitoba, Kanada. Hapo, alikuwa Mwenyekiti wa Idara ya Anatomia kwa miaka 16. Yeye ni mashuhuri katika uwanja wake. Yeye ni mwandishi au mhariri wa vitabu 22 na amechapisha vitabu zaidi ya tafiti 180 za kisayansi. Mnamo mwaka 1991, alipokea tuzo ya kipekee kabisa iliyotolewa katika uwanja wa Anatomy huko Kanada, J.C.B. Grant Award kutoka katika Chama cha wana-Anatomia wa Kanada. Alipoulizwa juu ya miujiza ya kisayansi katika Qur- aan ambayo aliifanyia tafiti, alisema yafuatayo: Namna nilivyoelezwa ni kwamba, Muhammad alikuwa mtu wa kawaida. Hakuweza kusoma, hakujua (namna ya) kuandika. Kwa kweli, alikuwa asiyejua kusoma. Sisi tunazungumzia kadiri ya miaka elfu moja na mia mbili [kwa kweli kadiri ya miaka elfu moja na mia nne] iliyopita. Unamkuta mtu asiyejua kusoma na kuandika akitoa matamko na kauli zenye maarifa mengi na cha ajabu ziko sahihi kuhusiana na sayansi. Mimi binafsi yangu, sioni ni vipi hii inawezaje kuwa ni bahati nasibu tu. Kuna mambo mengi sana ya
uhakika na, kama Dr. Moore, sioni tatizo katika fikra zangu kuwa hii msukumo au uhusiano utokao kwa Mwenyezi Mungu ndio uliomwongoza yeye atoe kauli hizi.
Profesa Persaud amejumuisha baadhi ya Aayah za Qur-aan na Hadiyth za Mtume Muhammad (Swalla Allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) katika baadhi ya vitabu vyake. Pia aliziwasilisha Aayah na Hadiyth za Mtume Muhammad (Swalla Allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) katika mikutano kadhaa wa kadhaa.
Huo ni mfano mmoja tu wa maelezo ya wanasayansi kuhusu jambo hili,sasa wewe unayesema ni jambo la kawaida tu toa maelezo na si kuacha jambo kama lilivyo.
Ni sawa na kuambiwa chumbani kwako kuna nyoka halafu ukasema utalala hotelini halafu ukaita huo ndiyo ufumbuzi wa hilo tatizo badala ya kwenda kumtowa huo nyoka.
Mitandao sio ushahidi, historia ndiyo ushahidi mzuri. Sasa Kama historia unaidai ushahidi hapo sikuelewi
Unsonea aibu imani yako ? Nimeeleza. Allah kabla ya Uislam unayo haki ya kukanusha maelezo.
Sijui unahitaji nini ? Weka chochote Mimi nutakipima na ikiwezekana nitakipinga kama ni upotoshaji nitakuwekea andiko husika lakini sitakimbia hoja
Dr. T. V. N. Persaud ni Profesa wa Anatomia (sayansi inayohusu mwili na viungo vyake jinsi vilivyo, Profesa wa Matibabu ya watoto na magonjwa yao (Pediatrics) na Afya ya Mtoto, na Profesa wa Ukunga, Jinakolojia (Elimuuzazi), na Sayansi ya mambo ya Uzazi katika Chuo Kikuu cha Minatoba, Winnipeg, Manitoba, Kanada. Hapo, alikuwa Mwenyekiti wa Idara ya Anatomia kwa miaka 16. Yeye ni mashuhuri katika uwanja wake. Yeye ni mwandishi au mhariri wa vitabu 22 na amechapisha vitabu zaidi ya tafiti 180 za kisayansi. Mnamo mwaka 1991, alipokea tuzo ya kipekee kabisa iliyotolewa katika uwanja wa Anatomy huko Kanada, J.C.B. Grant Award kutoka katika Chama cha wana-Anatomia wa Kanada. Alipoulizwa juu ya miujiza ya kisayansi katika Qur- aan ambayo aliifanyia tafiti, alisema yafuatayo: Namna nilivyoelezwa ni kwamba, Muhammad alikuwa mtu wa kawaida. Hakuweza kusoma, hakujua (namna ya) kuandika. Kwa kweli, alikuwa asiyejua kusoma. Sisi tunazungumzia kadiri ya miaka elfu moja na mia mbili [kwa kweli kadiri ya miaka elfu moja na mia nne] iliyopita. Unamkuta mtu asiyejua kusoma na kuandika akitoa matamko na kauli zenye maarifa mengi na cha ajabu ziko sahihi kuhusiana na sayansi. Mimi binafsi yangu, sioni ni vipi hii inawezaje kuwa ni bahati nasibu tu. Kuna mambo mengi sana ya
uhakika na, kama Dr. Moore, sioni tatizo katika fikra zangu kuwa hii msukumo au uhusiano utokao kwa Mwenyezi Mungu ndio uliomwongoza yeye atoe kauli hizi.
Profesa Persaud amejumuisha baadhi ya Aayah za Qur-aan na Hadiyth za Mtume Muhammad (Swalla Allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) katika baadhi ya vitabu vyake. Pia aliziwasilisha Aayah na Hadiyth za Mtume Muhammad (Swalla Allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) katika mikutano kadhaa wa kadhaa.
Huo ni mfano mmoja tu wa maelezo ya wanasayansi kuhusu jambo hili,sasa wewe unayesema ni jambo la kawaida tu toa maelezo na si kuacha jambo kama lilivyo.
Ni sawa na kuambiwa chumbani kwako kuna nyoka halafu ukasema utalala hotelini halafu ukaita huo ndiyo ufumbuzi wa hilo tatizo badala ya kwenda kumtowa huo nyoka.
Sijui kwanini umekuwa mzito kuelewa kuelewa? Wewe umesoma hiyo habari sijari ni wapi umesoma umeisoma ila je ushahidi wa hiyo upo wapi? Ndiyo nikasema ikiwa kila mtu akazoe habari zenye kuhusu imani ya mwenzi zisizo na ushahidi itakuwa fujo hapa.
Mfano nami nije na madai ya kwamba ukristo unaruhusu ushoga kwa sababu kuna ndoa hizo kweli zinafanywa basi ndiyo niseme kuwa ukristo unaruhusu jambo hilo. Nikifanya hivyo nitaulizwa ushahidi wa andiko la biblia lenye kuruhusu ushoga.
Mbali na hivyo hata hayo unayoeleza hayaendani na uhalisia,kwanza hayo masanamu yote yalivunjwa. Sasa sijui sanamu gani hilo wanaloliabudu waislamu.
My Friend , Mimi sizungumzii do and don't za Uislam nazungumzia Allah kabla ya Uislam na Allah wa kiislam. Ushahidi ni historia Tu. Nimekuekeza nawe toa version yako isomwe.
Waogopa nini ?
Allah aliyekuwa na kaabah Makkah kabla ya Uislam ndiye huyu unayemwabudu wewe baada ya Muhammad kumkarabati. Lete version yako.
Bado mgumu kunielewa haya twende utakavyo...nimekwambia kwamba Mtume muhammad baada ya kuuteka mji wa Makka alinja yale Masanamu yote,sasa wewe unasema sijui alibakiza sanamu.
Ahahahhahaaha taratiiibu unaanza kuamini kuwa Mungu yupo, thats very good beginning.Nimekusoma sana FATHER OF REALITY. Labda niseme tu kuwa NAAMINI MUNGU YUPO lakini sie huyu wa Quran, biblia wala mabudha. God kwa maana ya 'Super Natural Power' isiyo na pirika za kumtaka mtu aende kanisani wala msikitini.
Afu mkuu uo mfano wa mbu nimecheka sana. Coz it means vyovyote itavyokua mbu wengine wangekubali na wengine wangepinga. mara nyingi waumini mnapenda kusema Sijui akili za watu ni finite while God ni infinite. ikiwa ni hivyo tuseme waumini nao wana infinite mind?
Then mkuu umegisia suala la uumbaji wa binadamu hapo ukiuhusisha na science huku ukimfagilia Mungu. ivi unaongeleaje uumbaji wake wa dunia, other planets and galaxies?
Kipengele cha 7 c
vilema viwete ni matokeo ya dambi zetu
mental slavery ni aina mbaya mno kuliko aina zote za utumwa,hapo awali walitutawala kwa kutufunga minyororo miguuni, mikononi na kiunoni utumwa ulipoisha wakatuachia na dini ambayo kwa bahati mbaya ni utumwa wa akili ambao kiuhalisia hatutakuwa free tena..walitumia dini kutufanya wajinga na watumwa na wakatuachia dini kuendelea kuwa watumwa wao na hakika sisi ni watumwa,kwa nyinyi wachache mliofunguka akili nawapongeza sana ila wengi bwao ni watumwa pamoja na vizazi vyao.
Dini zipo kila sehemu si afrika tu,sasa hoja yako sioni maana yake.
Wapi nimeandika alibakiza sanamu? Nimesema aliondoa masanamu ya wasaidizi wa Allah pamoja na mabinti zake akabaki na Allah mkarabatiwa asiye msaidizi wala mwana. Na kuendelea kumwabudu pale pale na kwa jinsi ile ile.
Hivyo Allah mnamwabudu ni Allah aliyekarabatiwa toka Allah wa washirikina wa Makkah.
Unaona sasa tatizo la kujadili mada bila ushahidi? Nakwambia mtume alivunja masanamu yote we unasema mtume aliabudu sanamu.
unaweza usione maana yake ila usichojua ni kwamba unaposema dini zipo kila sehemu unamaanisha nini?tatizo hapa sio kuwepo kwa dini kila sehemu.....please punguza uzezeta ili uzielewe hizo dini!!
Jinsi unavyoelewa wewe isiwe sababu ya kumwita anaelewa tofauti na wewe ni zezeta. Nishakwambia dini zipo kila mahali na si za jana wala juzi.