Mojawapo ya namna ya kumtambua Kahaba ni
1. Mavazi yake.
Huwa ni mavazi ya 3/4 uchi
2. Namna yake ya kuangalia wanaume machoni na kujirembulisha na kujishebedua bila staha.
3. Lugha za matusi
Makahaba wengi wamejawa na uovu ikiwemo lugha za matusi.
Someni kitabu cha Mithali mtafahamu mengi kuhusu mitego ya makahaba na namna ya kuweza kuwaepuka au kujinasua iwapo mwanaume utakuwa tayari umeshaingia kwenye mitego ya kahaba
Sent using
Jamii Forums mobile app