50 Years of Independence with this Fire Brigade..!!!!

Eh! Jamani huu uwanja upo wapi? Mkoa gani?
 
Nafikiri anamuuliza driver hilo ni nini....utakuta hata fire extinguisher haina pouder ndani.....wala halina maji...likiwaka
watabaki kuwa mashahidi.
 
Mbona mi sioni hiyo fire brigade? Hayo maji yaliyoko hapo kwene hako ka pick up yanatosha hata kuzima jiko la mkaa kweli? Ukitokea moto, hao watakua wa kwanza kuungua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…