4G ya Tigo ni magumashi au kiuhalisia?

4G ya Tigo ni magumashi au kiuhalisia?

karanga mbichi

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
269
Reaction score
223
kumekuwa na malalamiko sehemu nyingi watu wakidai tigo bado hawana uwezo wa kutoa huduma za4g kwa wateja,,,
Kilichofanyika ni kuiboost tu 3g iliyokuwepo kufika walau 3.75g
Je ukweli ni upi kati ya hayo maana kasi ya internet yao bado ya kawaida saana
 
We hata 3.75g hawajafika labda 3.075g ni pumb a kabisa
 
Kiukweli kwa hili tigo mmekurupuka, tigo hata 3g maeneo mengi dar inasumbua sana.

Wangefix hii kwanza iwe vizuri maeneo yote ndipo warukie huko.
 
Technology kadri zinavyopanda zinakua User Equipment Dependent...
Binafsi,siwezi kuizungumzia 4G nina miliki kisichokua na LTE Implemented Option.
Ila kuna siku nilishuhudia kwa wakala wa Magazeti ana miliki simu yenye kudisplay 4G (kwa line ya Voda)..kipindi hata fununu za 4G hakuna.
Kwa hiyo,kuna wkt Handset yako yaweza kua tatizo au Mtandao Husika.
Vyema wenye makampuni wajipange kuelimisha la kutambua uwezo wa Simu ya Mteja ktk Huduma,inawezekana.
 
Technology kadri zinavyopanda zinakua User Equipment Dependent...
Binafsi,siwezi kuizungumzia 4G nina miliki kisichokua na LTE Implemented Option.
Ila kuna siku nilishuhudia kwa wakala wa Magazeti ana miliki simu yenye kudisplay 4G (kwa line ya Voda)..kipindi hata fununu za 4G hakuna.
Kwa hiyo,kuna wkt Handset yako yaweza kua tatizo au Mtandao Husika.
Vyema wenye makampuni wajipange kuelimisha la kutambua uwezo wa Simu ya Mteja ktk Huduma,inawezekana.
Mwanzoni hata mimi nilidhani kifaa kinaweza kuwa sababu.

Nimetumia vifaa tofauti kwa line ile ile, bado ni shida na malalamiko kutoka kwa wadau mbalimbali.

Eneo nilipo nakubali hata kwa voda kuna wakati mnara unashuka mpaka inabaki bar moja lakini kiutendaji ni afadhari voda kwa bar moja hiyo unaweza stream youtube, tigo hawaeleweki hawako stable yaan mala ufutike kabisa, mara unajaa lakini hakuna cha maana unaeza fanya.Lte yenyewe ni sehem na sehemu wakati 3g yenyewe bado ni sehemu na sehemu pia.

Kifupi ni wakurupukaji wazuri tu.
 
Mkuu hii tigo 4G ni hadithi tu na mambo ya kusadikika najutia hata ni kwanini nilipoteza muda wangu kwenda kubadilisha line,yani tokea nimeweka hiyo line ndio kwanza speed imepungua badala ya kuongezeka na sijawahi kushuhudia kitu kinachoitwa tigo 4G
 
4g ni usanii mtupu 3g bado inapitikana kwa shida..
 
kumekuwa na malalamiko sehemu nyingi watu wakidai tigo bado hawana uwezo wa kutoa huduma za4g kwa wateja,,,
Kilichofanyika ni kuiboost tu 3g iliyokuwepo kufika walau 3.75g
Je ukweli ni upi kati ya hayo maana kasi ya internet yao bado ya kawaida saana
4G iko vizur sana tigo mm naitumia naona tofauti kubwa nikilinganisha na 3G niliyokuwa natumia awali.
 
Hata mimi natumia 49 Lte naona ipo vizuri kweli
 
Back
Top Bottom