Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
LINI MTAACHA KUUA KWA SABABU YA DINI ENYI WATU DINI.......mkiacha kuuana tu ....I WILL BE NUMBER ONE TO JOIN YOU
.......... kafiri ni muoga wa KIFO !!
LINI MTAACHA KUUA KWA SABABU YA DINI ENYI WATU DINI.......mkiacha kuuana tu ....I WILL BE NUMBER ONE TO JOIN YOU
Hii ni imani ya ajabu sana! Mimi nafikiri wamepagawa na mapepo, na kwa kuwa wao kuwa na majini sio shida! Tumwombe Mungu...hawa ndugu zetu watz wasije nao wakapagawa...wakaanza kujipulia!!! Maana maneno wanayoyasema, haashirii mema kabisa! Nilitegemea MKUU wa nchi akemee watu kama hao...maana wanahatarisha amani ya nchi!! lakini naona kimyaaaa!!!
Ni kweli wanahitaji kuhurumiwa na kuombewa! Na Mungu awahurumie wakaione NURU kwenye maisha yao! Heri wangekubali kumwamini MFALME WA AMANI... wangepata amani kwenye maisha yao na kwenye nchi zao!