Na mafisadi sasa wanatumia mahakama kulindana na wizi wa mabilioni ambayo yangetumika kuwasaidia hawa watoto!! Mkweree, Mkapa , Mramba , Yona, Mgonja na nyie wezi wengine angalieni mnavyowaua wananchi na watotot wao!! Adhabu yenu mtaipata hapa hapa duniani.