2026 FIFA World Cup - Special Thread

wakuu hawa sauz walikuwa wazuri sana kwenye kufunga mipira ya mizago kwenye afcon so ebu tuone huku kwa wenyewe kujua soka watafanyaje.
pia huyu kocha wao alinifurahisha sana kwenye afcon alikuwa alembi wa kucheka na mchezaji. yeye ndio alikuwa kocha ambaya anafanya sub zake mapema tuu na zilikuwa zinazaa matunda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…