johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,929
- 141,893
Wabunge wengi wa CHADEMA walishachokwa sema tu 2015 mzee Lowassa aliwaboost wakarejea mjengoni.
Ni wabunge watatu tu wa kuchaguliwa ndio walikuwa bado wanakubalika na inawezekana hata 2020 walishinda ambao ni Freeman Mbowe wz Hai, mchungaji Msigwa wa Iringa mjini na Prof Jay wa Mikumi.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Ni wabunge watatu tu wa kuchaguliwa ndio walikuwa bado wanakubalika na inawezekana hata 2020 walishinda ambao ni Freeman Mbowe wz Hai, mchungaji Msigwa wa Iringa mjini na Prof Jay wa Mikumi.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!