Dodoma Demand
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 130
- 74
Ni muda wa kuchunguza neno (Neno umasikini lilikotokea WAMETUANDALIA SIASA ZA NAMNA GANI KUELELEA 2025). Haiwezekani umaskini unaongezeka ilihali maisha yanaendelea kuboreshwa kwa haya yafuatayo:
1) Barabara zinazounganisha mikoa (TAYARI kwa asilimia 100%)
2) Umeme wa REA (TAYARI kwa asilimia 80% labda kubadili nguzo za Magogo kuwa za Zenge)
3) Ujenzi wa bandari (Ukilinganisha na MIZIGO iliyopo utajua TAYARI kwa asilimia 67% )
4) Ujenzi wa meli (TAYARI kwa asilimia 89 nyingi ni Renovation tu)
5)Nguvu kubwa ya kupeleka maji vijijini na uchimbaji wa visima vya kisasa (TAYARI kwa asilimia 89)
6) Elimu bure mpaka kidato cha 4 (TAYARI kwa asilimia 100)
7)TCU kuongeza kutoa ITHIBATI kwa vyuo vikuu vipya (TAYARI kwa asilimia 100%)
8) Kuongezeka kwa udahili wa wanafunzi wa elimu ya juu (TAYARI kwa asilimia 100%)
9) Kuongezwa kwa fedha bodi ya mikopo ya elimu ya juu(HESLB) (TAYARI kwa asilimia 100%)
10) Kufutwa tozo ya 6% ya wanufaika wa elimu ya juu (TAYARI kwa asilimia 90%)
11) Kupandishwa kwa madaraja WATUMISHI wa umma (TAYARI kwa asilimia 100%)
12) Kujengwa kwa SGR ((TAYARI kwa asilimia 90%)) ,BWAWA LA MWALIMU NYERERE ((TAYARI kwa asilimia 100%)),MADARAJA ,MADARAJA YA JUU((TAYARI kwa asilimia 90%))
Ni mengi mengi mengi mno.......
Mabeberu walioleta CHADEMA 1992 yawezekana wengi wamekufa karibuni GEIta, GEIta, GEIta
"NCHI IMEPATA MAENDELEO MWALIMU NYERERE INABIDI TUJE BUTIAMA KUKABITHI HAKUNA MAENDELEO YA MARAIS WENGI LABDA TANZANIA INA MODEL"
1) Barabara zinazounganisha mikoa (TAYARI kwa asilimia 100%)
2) Umeme wa REA (TAYARI kwa asilimia 80% labda kubadili nguzo za Magogo kuwa za Zenge)
3) Ujenzi wa bandari (Ukilinganisha na MIZIGO iliyopo utajua TAYARI kwa asilimia 67% )
4) Ujenzi wa meli (TAYARI kwa asilimia 89 nyingi ni Renovation tu)
5)Nguvu kubwa ya kupeleka maji vijijini na uchimbaji wa visima vya kisasa (TAYARI kwa asilimia 89)
6) Elimu bure mpaka kidato cha 4 (TAYARI kwa asilimia 100)
7)TCU kuongeza kutoa ITHIBATI kwa vyuo vikuu vipya (TAYARI kwa asilimia 100%)
8) Kuongezeka kwa udahili wa wanafunzi wa elimu ya juu (TAYARI kwa asilimia 100%)
9) Kuongezwa kwa fedha bodi ya mikopo ya elimu ya juu(HESLB) (TAYARI kwa asilimia 100%)
10) Kufutwa tozo ya 6% ya wanufaika wa elimu ya juu (TAYARI kwa asilimia 90%)
11) Kupandishwa kwa madaraja WATUMISHI wa umma (TAYARI kwa asilimia 100%)
12) Kujengwa kwa SGR ((TAYARI kwa asilimia 90%)) ,BWAWA LA MWALIMU NYERERE ((TAYARI kwa asilimia 100%)),MADARAJA ,MADARAJA YA JUU((TAYARI kwa asilimia 90%))
Ni mengi mengi mengi mno.......
Mabeberu walioleta CHADEMA 1992 yawezekana wengi wamekufa karibuni GEIta, GEIta, GEIta
"NCHI IMEPATA MAENDELEO MWALIMU NYERERE INABIDI TUJE BUTIAMA KUKABITHI HAKUNA MAENDELEO YA MARAIS WENGI LABDA TANZANIA INA MODEL"