Siyo kweli; imebaki mwaka 1 na miezi michache tu. Hivyo maandalizi ya kumwandaa mgombea asiye na makando-kando ni huu.2025 Bado mbaaaaliiiii!!!
Samia hadi 2035 ,hiyo mitano baada ya katiba mpya, wagalatia kama vp msahau urais kbsMoja kwa moja kwenye mada maana nimevurugwa.
Kulingana na mkwamo wa uongozi uliopo madarakani na msimamo wake wa kuziba masikio ili kutosikiliza maoni ya Raia wake (mimi pia nikiwemo), ninaomba Chama chetu pendwa cha Mapinduzi (CCM) kijitafakari na kutuangalizia mbadala atakayebeba mikoba ya huyu aliyopo.
Maana haihitaji utumie nguvu nyingi sana kuona mkwamo wa uongozi wa sasa na kwamba asilimia kubwa ya wananchi hasa wanyonge, hatuuelewi-elewi.
Hivyo nikiwa Raia na mpiga kura, naomba kutoa maoni ya kutoka ndani ya kuta za moyo wangu kwamba CCM kama kweli bado inataka kuendelea kubakia madarakani, basi iangalie mbadala.
Vinginevyo, mtalazimisha mambo hali ambayo inaweza kuleta machafuko katika nchi yetu..
Hebu hekima itokayo kwa Mwenyezi Mungu, ikawaongoze wale wa kwenye kamati kuu, kama walivyoongozwa mnamo mwaka 2015.
Ni matumaini yangu kuwa maoni haya yatafanyiwa kazi kwa mtizamo chanya kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi yetu.
Tanzania imebarikiwa kila kitu isipokuwa viongozi tu hasa wale wa ngazi ya juu..
Kama sisi ni kundi la ng'ombe (kwa mfano tu, japo sisi siyo ng'ombe) basi ng'ombe waliotangulia mbele yetu wana kisirani na wanatembea mwendo wa madaha na wataratibu huku sisi wa nyuma (wananchi wa hali ya chini), tukionewa kwa kutandikwa viboko (tozo + maisha magumu) ili mwendo uongezeke!
Naomba kuwasilisha.
Wagalatia chuki zenu hatuwapi nchi tena wauajiSiyo kweli; imebaki mwaka 1 na miezi michache tu. Hivyo maandalizi ya kumwandaa mgombea asiye na makando-kando ni huu.
Kingine tunahitaji kiongozi ambaye amechangamka-changamka.
Siyo tunaletewa kiongozi hata akisimama kutoa hotuba, havuti usikivu wa watu kwa sababu kapoa utafikiri kiporo cha pilau la muhogo!
Ni kweli Mkuu kwa hao uliowataja.Nimeipenda hii "Tanzania imebarikiwa kwa vitu vingi isipokuwa viongozi" Ila Nyerere na Magufuri walikuwa Tofauti;
Amiin.Inshallah mungu atatuamulia na hili🤗
Unamaanisha nini kwa kusema Wagalatia?Wagalatia Wana chuki ya hali ya juu na Rais, wasahau kupewa nchi
Halafu utakuta mijitu unaniita chawa, mama, mama,mama, mama yangu hayuko hiviNi kweli Mkuu kwa hao uliowataja.
Maana sijawahi kusoma mikataba ya kijinga-jinga waliyoingia hao wapendwa wetu waliotupenda kwa dhati ( Hayati JKN & JPM).
Wengine wote waliosalia, wanapambana kuingia mamikataba ya kimangungo mangungo na ya kuturudisha utumwani; tena utumwa mwenyewe wa kutawaliwa na mwarabu ambaye kwa asili ni mkatili!
Kwa kweli CCM ituepushe na kikombe hiki tafadhali, tunaomba sana.
Kwani hayajaharibika tu Mkuu?Labda mambo ya haribike sana.
Hata wangu hayuko hivi.Halafu utakuta mijitu unaniita chawa, mama, mama,mama, mama yangu hayuko hivi
SijuiUnamaanisha nini kwa kusema Wagalatia?
Naona leo ndo uko zamu halafu umesahau kubadilisha-badilisha ID, maana tunawafahamu tena kwa majina wote mliopewa "asali" ili kuutetea uongozi uliopo kwa gharama ya kuuza uhuru na rasilimali za Watanzania.Wagalatia Wana chuki ya hali ya juu na Rais, wasahau kupewa nchi
Hilo sidhan cz mwenyekiti mpaka amalize muhula wake ndio aachie kijiti. Hivyo sitegemei waende kinyume labda muhusika aamue kupumzika!!Moja kwa moja kwenye mada maana nimevurugwa.
Kulingana na mkwamo wa uongozi uliopo madarakani na msimamo wake wa kuziba masikio ili kutosikiliza maoni ya Raia wake (mimi pia nikiwemo), ninaomba Chama chetu pendwa cha Mapinduzi (CCM) kijitafakari na kutuangalizia mbadala atakayebeba mikoba ya huyu aliyopo.
Maana haihitaji utumie nguvu nyingi sana kuona mkwamo wa uongozi wa sasa na kwamba asilimia kubwa ya wananchi hasa wanyonge, hatuuelewi-elewi.
Hivyo nikiwa Raia na mpiga kura, naomba kutoa maoni ya kutoka ndani ya kuta za moyo wangu kwamba CCM kama kweli bado inataka kuendelea kubakia madarakani, basi iangalie mbadala.
Vinginevyo, mtalazimisha mambo hali ambayo inaweza kuleta machafuko katika nchi yetu..
Hebu hekima itokayo kwa Mwenyezi Mungu, ikawaongoze wale wa kwenye kamati kuu, kama walivyoongozwa mnamo mwaka 2015.
Ni matumaini yangu kuwa maoni haya yatafanyiwa kazi kwa mtizamo chanya kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi yetu.
Tanzania imebarikiwa kila kitu isipokuwa viongozi tu hasa wale wa ngazi ya juu..
Kama sisi ni kundi la ng'ombe (kwa mfano tu, japo sisi siyo ng'ombe) basi ng'ombe waliotangulia mbele yetu wana kisirani na wanatembea mwendo wa madaha na wataratibu huku sisi wa nyuma (wananchi wa hali ya chini), tukionewa kwa kutandikwa viboko (tozo + maisha magumu) ili mwendo uongezeke!
Naomba kuwasilisha.
Alazimishwe kuachiaHilo sidhan cz mwenyekiti mpaka amalize muhula wake ndio aachie kijiti. Hivyo sitegemei waende kinyume labda muhusika aamue kupumzika!!
Anamaanisha Wakristo.Unamaanisha nini kwa kusema Wagalatia?