Awal kulli ,
Nasema hivi...
Mbona mh.Rais SSH hana kazi ngumu hiyo 2025 in shaa Allah....
Katoka pagumu mno....mnoo...
Kuna ugumu kama "regime change" baada ya "sitting president" kutawafu ?!!!
Kwa nguvu za Mwenyezi Mungu na mizimu ya mababu wa taifa takatifu la Tanzania ,mh.Rais Samia alivivuka viunzi na leo ni raia nambari 1 wa JMT....
Lipi gumu tena ?!!
Lipi ?!!
2025?!!
Geeez
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app