Kesho kutwa Mungu jalia tunauanza mwaka 2020, ambapo CCM wana kazi moja kubwa kusuka ama kunyoa, wasiojua tafsida CCM wana kazi moja kuiokoa nchi au kuiangamiza.
Kila la heri wana JamiiForums kuelekea new year Mungu awabariki sana.
Mkuu naongelea uchaguzi wa ndani ya ccm uliojaa makundi , kundi la lowasa ,kikwete,kundi jipya la wasaka tonge nani ataibuka kidedea kati ya ccm kindakindaki na ccm wachumia tumbo ,wasaka vyeo bendera fuata Yaani vita kati ya vingunge na vikwete.
Viongozi wa upinzani wajue wasipotuongoza kudai tume huru ya uchaguzi, sisi wapiga kura wao hatuwezi kushiriki huu ushenzi unaoendelea hivi sasa. Hatutakuwa na muda wa kwenda kupanga mstari kupiga kura ambazo hatujui usalama wake.
Viongozi wa upinzani wajue wasipotuongoza kudai tume huru ya uchaguzi, sisi wapiga kura wao hatuwezi kushiriki huu ushenzi unaoendelea hivi sasa. Hatutakuwa na muda wa kwenda kupanga mstari kupiga kura ambazo hatujui usalama wake.
Mkuu naongelea uchaguzi wa ndani ya ccm uliojaa makundi , kundi la lowasa ,kikwete,kundi jipya la wasaka tonge nani ataibuka kidedea kati ya ccm kindakindaki na ccm wachumia tumbo ,wasaka vyeo bendera fuata Yaani vita kati ya vingunge na vikwete.