Mwanzi1
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,000
- 4,586
Kinachowashinda wewe na wengine wanaoleta hoja mfu, ni kushindwa kuleta ushahidi. Huwezi kusema mtu fulani mwizi na hujamshika na mali yoyote ya wizi. Ingependeza kama ungeleta ushahidi kama mtumishi wa serikali au kiongozi yoyote yule amehusika aidha kwa kutoa amri au yeye mwenyewe kuhusika moja kwa moja na upoteaji wa wanahabari, ungeweza kueleweka. Na ndio hivi hivi upinzani mnapenda kutangaza uwongo na watu wengine ishia kuamini kama maneno ya kweli. Umesema mwenyewe, msema kweli ni mpenzi wa Mungu, basi na nyinyi mseme ukweli.Mkuu,unaishi Dunia gani!? Hivi hujui waandishi wangapi wamepotea hawajulikani walipo?!
Unajifanya kupoteza fahamu, hutaki kukubali ukweli,.. ukweli maisha yote hushinda uongo,msema kweli ni mpenzi wa Mungu..
Jidanganye hivyo hivyo iko Siku utajua na kukubali ukweli..