Kukudume2013 JF-Expert Member Jan 8, 2013 1,659 729 Jan 1, 2014 #1 Taja kitu kimoja tu ambacho ni kizuri kimefanywa na serikali yetu 2013
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,219 Jan 1, 2014 #2 1; Ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo kumfua madaraka mamluki Zitto. Hili nimelifurahia sana kwa nafsi yangu! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
1; Ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo kumfua madaraka mamluki Zitto. Hili nimelifurahia sana kwa nafsi yangu!