Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,100
- 1,955
Nilijua bado uko Kenya
Mchungaji, lini utaacha uchokozi? Te he te he te he!
Nilijua bado uko Kenya
Badu na Anna wanamilki kiungo...uku wakicheza 3-5-2-1
guinea wanatumia 3-1-4-1 huku mamadu bah akimili kiungo
Ghana arifu....whats your bet tonight?
Ghana arifu....
Guonea inabidi wamfunge ghana 4-0 na bitswana afungwe...Guineé, ili kundi liwe gumu.
Remember Guinea wana 5 goals advantage...
Guonea inabidi wamfunge ghana 4-0 na bitswana afungwe...