edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,879
- 9,678
Ukigoogle utaonaUna picha tuone labda?
Au unaongelea Toyota Century.?
Ukigoogle utaonaUna picha tuone labda?
Au unaongelea Toyota Century.?
Mkuu kuwa serious kidogo. Wakati grs180 inatoka S class iliopo sokoni ni W220. Huwezi kulinganisha chochote Kati ya hizo gari.
Btw Grs180 wameiga shape ya hio W220. Kuanzia grille hadi shape ya taa. Cheki picha zake utanielewa.
S class ikitoka inakuwa mbele 10yrs ya gari nyingi za kawaida. Unafikiri VIps wengi duniani kwanini wanatumia s class?
Hii ndio grs180? My low end VW got more options than grs180
Hio ni Lexus mzee, crown hayuko kwenye league hioHii ndio grs180? My low end VW got more options than grs180
Comment yangu haihusu Lexus.Hio ni Lexus mzee, crown hayuko kwenye league hio
Hata mimi huwa najiuliza inakuwaje gari ya miaka 10 iliyopita kuwa imetembea kms 38k peke yake? Extrovert hebu njoo utusaidie
Kuna gari ilinunuliwa km 32,000 namba C. Mpaka leo haijafikisha hata km 90,000 na ukiiona ni nzima kuliko hata namba E za juzi.Hata mimi huwa najiuliza inakuwaje gari ya miaka 10 iliyopita kuwa imetembea kms 38k peke yake? Extrovert hebu njoo utusaidie
Kuna gari ilinunuliwa km 32,000 namba C. Mpaka leo haijafikisha hata km 90,000 na ukiiona ni nzima kuliko hata namba E za juzi.
Sema haikununuliwa kwenye website, ilifuatwa mnadani na mtu na ikatumwa moja kwa moja.
Magari ya bei ya chini yapo mengi sana, sema huwezi yaona kwa wingi kwenye mitandao.
bongo nyoso 😂😂Atakuwa haijui calculator ya TRA huyo jamaa 😂. Gari ya miaka 5-6 nyuma labda ununue Toyota Aqua-Vitz mpya. Na hata hiyo utasikia mafundi wetu wanakwambia ina umeme mwingi
Heri Kwenye N46 Engine Hazijalaumiwa Sana Kama Hizi Za N43 Mafundi Wengi Nimeona Wanalalamika.Hiyo BMW 320i kwa mwaka huo 2010 ina N43 engine.
Una uelewa na hiyo engine? Acha kumtumbukiza mwenzio kwenye janga.
Mfufua Makaburi.Hii topic mliishia wapi?
Vijana wengi tulinunua kwa mkumbo. Kuzitunza hizo engines imekuwa mtihani mkubwa kuliko wa NACTVETBMW 3 series naona inauzwa sana kwenye magari used ya bongo .sijui ni kwamba zinashida au wamiliki wameshindwa kuzihudumia
This week nmekutana na N43 mbili, moja kwenye E92 na nyingine kwenye E90. Nimewaonea huruma sana hao jamaa.Heri Kwenye N46 Engine Hazijalaumiwa Sana Kama Hizi Za N43 Mafundi Wengi Nimeona Wanalalamika.