jamani nimeisikia leo asubuhi kwenye vijiwe vya kahawa kuwa jamaa 20% alikamatwa na unga congo miaka 2 au 3 iliyopita na kuwa yuko congo amefungwa.Nilijaribu kuulza kidogo lakn mnywa kahawa hakuwa na majibu ya kuniridhsha,nimekuja kwenu kwa mtu mwenye uhakika please afunguke