Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Dr Kikwete na Yoheri K. Mseveni watakuwa wageni rasmi katika kuazimisha
miaka 50 ya chuo kikuu cha Udsm
Ukumbi utakuwa Nkurumah wanaJf wanasema kuwa Jakaya anawaogopa wanaudsm
sasa tarehe 22.10.2011 Jumamosi atakuwa LIVE ITV NA Radio one
:crutch:
hapa tunategemia wanachuo kuwalaki hawa marais wawili waetimu wa mlimani
Source: ITV
miaka 50 ya chuo kikuu cha Udsm
Ukumbi utakuwa Nkurumah wanaJf wanasema kuwa Jakaya anawaogopa wanaudsm
sasa tarehe 22.10.2011 Jumamosi atakuwa LIVE ITV NA Radio one
:crutch:
hapa tunategemia wanachuo kuwalaki hawa marais wawili waetimu wa mlimani
Source: ITV