Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,023
- 1,316
Wamepiga Maendeleo
Yeah...
Zamani tulikuwa tunafunua chupi zao ili tuone matako yao, siku hizi tunapanua matako yao ili tuone chupi zao...
Maendeleo hayakwepeki....

kila jambo na wakati wake, it's just a matter of period, inatakiwa tuishi kwa wakati tulionao, ni upumbavu kutamani nyakati zisizo zetu, hata kama nyakati tulizo nazo ni mbaya, hatuwezi zibadilisha inatubidi twende nazo kihivyo. Muda ukifika zitaondoka na kuja nyakati nyingine na zaweza kuwa mbaya zaidi ya hizi au bora kulikoni hizi.