zakaria ramadhani
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 228
- 163
Habari wana jamvi; kwa mara ya kwanza leo nimejitokeza kwenu nikiomba ushauri ktk hili munisaidie,
Ninaishi na mwanamke ambae kiimani hatutafautian bali dhehebu ndio tunatofautiana, yy msabato na mm kkkt sasa changamoto nilionayo kwa huyu mwanamke ni kwamba nimemuomba na kumshauri abadili dhehebu tuwe kitu kimoja ktk familia lkn alikataa
Zaidi ya kukata hata kusali kanisan kwake pia amesitisha ukimuuliza anakwambia heri kua mpagani lkn sio kusali dhehebu tofauti na la kwake na sisi wote ni watumishi jambo ambalo hata kufunga ndo linaniwia gumu;
Kwaio naombeni ushauri wenu nifanyaje! Japo tunamtoto mmoja ambae wakati tunatongozana alikua na mimba ya huyo mtoto ambae sio wangu kwa maana ya kumzaa bali kwa maana yakumlea akiwa tangu tumoni.
Ninaishi na mwanamke ambae kiimani hatutafautian bali dhehebu ndio tunatofautiana, yy msabato na mm kkkt sasa changamoto nilionayo kwa huyu mwanamke ni kwamba nimemuomba na kumshauri abadili dhehebu tuwe kitu kimoja ktk familia lkn alikataa
Zaidi ya kukata hata kusali kanisan kwake pia amesitisha ukimuuliza anakwambia heri kua mpagani lkn sio kusali dhehebu tofauti na la kwake na sisi wote ni watumishi jambo ambalo hata kufunga ndo linaniwia gumu;
Kwaio naombeni ushauri wenu nifanyaje! Japo tunamtoto mmoja ambae wakati tunatongozana alikua na mimba ya huyo mtoto ambae sio wangu kwa maana ya kumzaa bali kwa maana yakumlea akiwa tangu tumoni.