Mkoba wa Mama
JF-Expert Member
- May 5, 2021
- 280
- 173
Usiandike kingeni chochote zaidi ya namba moja au mbili kadri ya mtazamo wako, kama huwezi kuandika namba, basi andika maneno yaliyopo aidha kwenye namba moja au mbili.
Usiandike namba zote kwa wakati moja, chagua namba moja tu.
NB: kama huwezi kufuata utaratibu, pita kama vile hujaona chochote, utakua umetisha sana.
Usiandike namba zote kwa wakati moja, chagua namba moja tu.
NB: kama huwezi kufuata utaratibu, pita kama vile hujaona chochote, utakua umetisha sana.