01/04/2012

01/04/2012

Kamzuzu

Member
Joined
Mar 15, 2012
Posts
37
Reaction score
4
Siku ambayo Wana Arumeru wanapiga kura kumchagua mwakilishi wao bungeni,naamini muda wa mabadiliko umewadia tuelekee katika maendeleo chanya ya nchi yetu miaka hamsini ya uhuru imetufungua kujua nchi inaelekea wapi wapiga kura wa Aremuru ndio wataamua maisha yao yawe ya gharama gani kwa kumchagua mtu atakayewapigania kutoka katika umasikini ,TUNAHITAJI MABADILIKO,"MUNGU IBARIKI TANZANIA NA ARUMERU MASHARIKI"wajinga mtasherehekea cku yenu uchaguzi hautawaathiri,AMEN!!
 
To day is My Birthday
I m Happy because i m in Arumeru,Voting for Josh and is the Historical phenomenon to me.

Happy birthday to me,Happpy birthbay to me...
 
To day is My Birthday I m Happy because i m in Arumeru,Voting for Josh and is the Historical phenomenon to me. Happy birthday to me,Happpy birthbay to me...
happy birthday
 
Ushawishi na vishawishi vilikuwa vingi. Tunamuomba Mungu awaongoze wanaArumeru mashariki kwa amani na utulivu. Amen.
 
To day is My Birthday
I m Happy because i m in Arumeru,Voting for Josh and is the Historical phenomenon to me.

Happy birthday to me,Happpy birthbay to me...

Happy Birthday.

Sent from my GT-I9100 using Tapatalk
 
Binafsi hii Siku naichukulia kwa aina ingine kabisa.
Naona kama ni Siku ya "mtego" kwa Wana-Arumeru.


Why??
Leo ni SIKU YA WAJINGA duniani, including Arumeru.
Ndio kipimo cha Kuamini Wana-Arumeru ni wajinga kiasi gani.

Utakua ni mjinga ukiamini kua nitakuletea Maji wakati aliekuahidi mwanzo na hakukuletea nilikua nae muda wote (Marehemu Baba). Haya mambo ndio waliyoyakataa Wamafia kwa kumtosa Omary Kimbau wakati baba yake alipitia huo Ubunge na hakufanya kitu.

So hii siku ya leo ni ya kuwapima Wameru Kama wamepumbazika vipi.
 
Back
Top Bottom