Siku ambayo Wana Arumeru wanapiga kura kumchagua mwakilishi wao bungeni,naamini muda wa mabadiliko umewadia tuelekee katika maendeleo chanya ya nchi yetu miaka hamsini ya uhuru imetufungua kujua nchi inaelekea wapi wapiga kura wa Aremuru ndio wataamua maisha yao yawe ya gharama gani kwa kumchagua mtu atakayewapigania kutoka katika umasikini ,TUNAHITAJI MABADILIKO,"MUNGU IBARIKI TANZANIA NA ARUMERU MASHARIKI"wajinga mtasherehekea cku yenu uchaguzi hautawaathiri,AMEN!!