Mke wangu ni mjamzito, nilienda nae Zahanati ya Kata ya Ihumwa (Zahanati ya Ihumwa) iliyopo Dodoma Mjini kwa ajili ya clinic ya kawaida.
Wakasema kuwa ili upimwe Malaria unapaswa ulipie gharama ya kipimo na dawa, pia vidonge vya folic kwa ajili ya kuimarisha afya ya Mtoto aliepo tumboni navyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.