Yohana Mbatizaji alisisitiza na kuhubiri juu ya Toba. Akawahimiza wayahudi kumsubiri mesiah Yaani Yesu.
Kubwa kuluko yote alipinga maovu ya watawala na kuwaeleza ukweli juu ya uovu wao. Akamuambia Herode juu ya uovu wa kuoa mke wa kaka yake.
Kama mtangulizi wa Yesu Yohana mbatizaji alikemea...
Wasadukayo wakiongozwa na Wazee wa Mitala na Ahabu waliomweka kwenye kiti cha enzi wanaendelea kuitumia Sanhedrin kuendeleza michezo yao kumzuia Yohana Mbatizaji.
Hakika tunawataarifu Wasudukayo kuwa hii kitu iwe tu geresha kwa ajili ya tukio kuu.
Ila wakidanganyika na kutamani kichwa cha...
Kama huna nguvu hutafika popote wala hutateka chochote
Yohanne anaelezea nguvu za Kiimani lakini katika Siasa zetu wenye nguvu za kiuchumi ndio huuteka Ufalme
Ufalme siyo Kuongoza bali kuenjoy matunda ya Wanaoongoza
Kwa mfano Chaumma anayeongoza ni Hashim Rungwe lakini wanaoburudika kwa...
Hukumu ya Yohana mbatizaji iliboreshwa kutoka kufungwa na hatimaye kukatwa kichwa.
Turudi kwenye maandiko;(Mathayo 14:3-)
Yohana mbatizaji alifungwa kwa sababu ya kumkemea Herode(mfalme) kwa kuoa mke wa nduguye Filipo.Ili kunyamazishwa sauti isiendelee sana kusikika alitiwa gerezani.Nadhani...
Salaam!
Watu watofaitishe uchungaji na unabii,
Nabii ni kinywa Cha Mungu, Hakika Mungu akitaka kuongea na wanadamu, hutumia kinywa Cha nabii kufikisha ujumbe wake, utasikia anaongea Lema ,ila kumbe asemaye ni Mungu mwenyewe KUPITIA kinywa Cha Lema.
Nimesikia mara kadhaa hotuba za Mh Lema Leo...
Linapokuja suala la ukatili, viongozi wa kike wameonesha roho mbaya za waziwazi kabisa!
Michango ya wabunge inatia simanzi!
Kushangilia utekaji na mauaji ni ishara ya juu kabisa ya uchawi!
Kama kuteka ni suruhisho hatuna budi kuwa na mahakama na magereza.
Viti maalum vimeonesha waziwazi siyo...
Wakati wa huduma ya Yesu, suala la utambulisho wa Yohana Mbatizaji lilikuwa na umuhimu mkubwa katika jamii ya Kiyahudi. Wengi walimwona Yohana kuwa ndiye Eliya aliyetabiriwa kuja kabla ya Masihi.
Hii ilitokana na unabii wa kitabu cha Malaki unaosema: "Tazama, nitawapelekea nabii Eliya kabla ya...
Acha zako bana👇.
Aliyekuwa Mbunge wa zamani wa Jimbo la Bunda, Stephen Wasira, ameshauri viongozi wa dini kutojihusisha na siasa badala yake kuhubiri amani ili kuepusha mivutano ya kisiasa kwa waumini na kuleta umoja.
Ameyasema hayo wakati akichangia kwenye mkutano wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.